Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
NATAKA UTAJIRI....
...
...
Maisha yamekuwa balaa.
Naombeni mnipe masharti.
...
...
Maisha yamekuwa balaa.
Naombeni mnipe masharti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipe masharti kwanza mkuu,laki utapata tu.ntumie laki nkupe masharti
HAPANA.Upo tayari kukatwa mkuyenge upate utajiri?
Asante sana mkuu.Nakutakia Kila la kheri
Nalog off
Duh!!!FANYA KAZI.. utajiri wa masharti huwa mbaya sana,unaweza ukapata utajiri ila ukaambiwa maisha yako yote ulale sakafuni (yaani kitanda usikijue) na kila mtoto unaepata lazima umtoe kafara na hiyo pesa utakayopata huruhusiwi kutoa msaada kwa mtu yeyote yule.
[emoji106]Jitume fanya kazi kwa bidii huku ukimwamini Mungu kuwa ndo mtoa rizki na zamu yako ikifika utapata tu.Achana na waganga mkuu
Duh!!!
Eti itokee kala punje moja........Tunduma huku naona vijana wanapewa kuku na mganga,wewe unakuja na punje za mahindi kutupia idadi ya punje atazo kula ndio miaka yako ya kutusua mapene baada ya hapo Roho yako inaacha mwili,sasa itokee kala punje moja ni noma Sana.
FANYA KAZI.. utajiri wa masharti huwa mbaya sana,unaweza ukapata utajiri ila ukaambiwa maisha yako yote ulale sakafuni (yaani kitanda usikijue) na kila mtoto unaepata lazima umtoe kafara na hiyo pesa utakayopata huruhusiwi kutoa msaada kwa mtu yeyote yule.
Jitume fanya kazi kwa bidii huku ukimwamini Mungu kuwa ndo mtoa rizki na zamu yako ikifika utapata tu.Achana na waganga mkuu
Maneno yako yana thamani BroNi utumwa wa hali ya juu.
Maneno yako yana thamani Bro
ikiwa atajua
Barikiwa sana
Bora kuku akwambie uje nae unaweza fungia siku tatu ndio unapeleka atadonoa punje nyingi sasa wa kumkuta pale kashiba si anadosoa vichache.Eti itokee kala punje moja........
Buhahahahahahaha