Enyi Wanamichezo kwa 'Kauli' hii ya Mukoko Tonombe aliyoisema kwa Ndugu yake Mmoja leo amemaanisha nini ?

una Tabia kama za Ex girlfriend wangu
 
Shabiki wa simba wengi kipindi hiki mna stress sana. Hapo kwa Mukoko mtajitekenya sana,komaeni tu na Morisson ambae mpaka sasa mchango wake bado haujafikia matarajio yenu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
ukijikuna sehemu ya kutolea haja kubwa usitegemee harufu ya ua waridi.
 
Weka chanzo cha habari hii uaminike vinginevyo utakuwa unafanya siasa kama mo dewji leo kwe press na wana habari
 
Sasa hapo atletico de mnyero kuna kipi cha ajabu!nyie jiandaeni na maumivu ya chama akiwa kwenye uzi wa yellow and green
Pambafu wewe..Umemsikia bilionea MO Leo katika press conference.. Endeleeni kusubiri kama mnasubiri Masia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…