Enyi Wanamichezo kwa 'Kauli' hii ya Mukoko Tonombe aliyoisema kwa Ndugu yake Mmoja leo amemaanisha nini ?

Enyi Wanamichezo kwa 'Kauli' hii ya Mukoko Tonombe aliyoisema kwa Ndugu yake Mmoja leo amemaanisha nini ?

"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
una Tabia kama za Ex girlfriend wangu
 
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Shabiki wa simba wengi kipindi hiki mna stress sana. Hapo kwa Mukoko mtajitekenya sana,komaeni tu na Morisson ambae mpaka sasa mchango wake bado haujafikia matarajio yenu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
ukijikuna sehemu ya kutolea haja kubwa usitegemee harufu ya ua waridi.
 
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi kwani ni Wachezaji ambao nawapenda, nawatamani na bahati mbaya sana nilipo sasa sijaona wa Kuwafananisha nao. Huenda Mkopo wangu wa Miezi 6 ukimaliza nikajiunga nao waliko"
Weka chanzo cha habari hii uaminike vinginevyo utakuwa unafanya siasa kama mo dewji leo kwe press na wana habari
 
Sasa hapo atletico de mnyero kuna kipi cha ajabu!nyie jiandaeni na maumivu ya chama akiwa kwenye uzi wa yellow and green
Pambafu wewe..Umemsikia bilionea MO Leo katika press conference.. Endeleeni kusubiri kama mnasubiri Masia
 
Back
Top Bottom