Enyi wanawake. Hakuna mwanaume bahili, ni vile tu ugumu wa upatikanaji wa pesa unatofautiana. Tuoneeni huruma

Enyi wanawake. Hakuna mwanaume bahili, ni vile tu ugumu wa upatikanaji wa pesa unatofautiana. Tuoneeni huruma

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Jioni hii nikiwa hapa nje kibarazani, nawasikia wanawake hapo koridoni wanamteta mshkaji mmoja hivi mpangaji kuwa anapenda mbunye lakini ni mbahili. Jamaa ana mwezi wa tatu tokea aondoke kwenda kijijini kuhudumia ujauzito, cha ajabu wanamsema kwa kutumia wakati uliopo. Nimejiongeza tu nikajua wananisema mimi

Enyi wanawake, sio kwamba hatupendi kuwapatia pesa, tunapenda sana tu, sema inategemeana na upatikanaji wake. Eti nikabebe zege nipandishe ghorofa ya tatu halafu niambulie afu tatu, halafu ndani ya wiki moja ya kuweka kibubu, ile nakivunja tu kutazama 12k yangu kama ipo, muda huo huo unatuma sms eti "Nitumie 10k nikasuke, usisahau na ya kutolea" Ewe mwanamke, jipigie tu hesabu ya ubinadamu ungekuwa mimi, jaribu tu kuvaa viatu vyangu, ungetoa? Basi sawa, let say moyo umeniambia nikutumie afu tatu, nakuuliza kama imefika unaishia kunitukana na kuniuliza kuwa hako ka kijisenti ndo kanakonifanya nikusumbue sumbue!

Muweni na huruma jamani. Mmepewa bure, basi tugeieni bure!
 
mimi kama sina PE$A huwa nafunga ZIPU yangu kwa KUFULI. kuliko kujidhalilisha kwa hawa viumbe wanawake.
 
Jioni hii nikiwa hapa nje kibarazani, nawasikia wanawake hapo koridoni wanamteta mshkaji mmoja hivi mpangaji kuwa anapenda mbunye lakini ni mbahili. Jamaa ana mwezi wa tatu tokea aondoke kwenda kijijini kuhudumia ujauzito, cha ajabu wanamsema kwa kutumia wakati uliopo. Nimejiongeza tu nikajua wananisema mimi

Enyi wanawake, sio kwamba hatupendi kuwapatia pesa, tunapenda sana tu, sema inategemeana na upatikanaji wake. Eti nikabebe zege nipandishe ghorofa ya tatu halafu niambulie afu tatu, halafu ndani ya wiki moja ya kuweka kibubu, ile nakivunja tu kutazama 12k yangu kama ipo, muda huo huo unatuma sms eti "Nitumie 10k nikasuke, usisahau na ya kutolea" Ewe mwanamke, jipigie tu hesabu ya ubinadamu ungekuwa mimi, jaribu tu kuvaa viatu vyangu, ungetoa? Basi sawa, let say moyo umeniambia nikutumie afu tatu, nakuuliza kama imefika unaishia kunitukana na kuniuliza kuwa hako ka kijisenti ndo kanakonifanya nikusumbue sumbue!

Muweni na huruma jamani. Mmepewa bure, basi tugeieni bure!
Tatizo ni uchoyo, sio lazima utoe kitu cha kukufanya uuze figo. Katika kidogo unachopata, hata kilo ya sukari yatosha
 
kwa hiyo sisi ndio tulikaa hapo kibarazan haduamue kujilalamisha huku? baba tafuta hela bila hivo pisi utaishia kuziona kwa mbali,either tafuta wa kuendana na hali yako mwanamke ambae anajua huna akavumilia sisi akina betina jiandae kulia lia
 
Tatizo ni uchoyo, sio lazima utoe kitu cha kukufanya uuze figo. Katika kidogo unachopata, hata kilo ya sukari yatosha
Wewe wasema! Hivi kwa Tanzania yetu hii ya leo, ni mwanamke gani utamuhonga kilo ya sukari akuchekee kama sio kukuponda nayo usoni?
 
kwa hiyo sisi ndio tulikaa hapo kibarazan haduamue kujilalamisha huku? baba tafuta hela bila hivo pisi utaishia kuziona kwa mbali,either tafuta wa kuendana na hali yako mwanamke ambae anajua huna akavumilia sisi akina betina jiandae kulia lia
Wanaojitokeza ili kuwa size yangu ni wanawake wa aibu sana kiasi kwamba mtaa ukijua, unaweza anguliwa vicheko vya kila namna

Kuna jimama linakunywa Chang'aa na Madompo, jitu nene la miaka 40, eti ndo nililirushia vesi likaingia king, likadai litanivumilia kwenye shida na raha. Kikubwa nilizingatie 300 ya kuingia kwenye kilabu cha Shayo. Je huu ni uungwana?
 
Kijana mwanamke akikuomba hela usiseme huna wewe kubali Tena mwambie utamtumia na ya kutolea mwambie na mda utakaomtumia😂ifika huo mda akikuuliza mbona hujatuma mbluetick alipiga smu usipokee, akizngua sana mblock🤣shenz kabsa "jihurumie mwnyw" u can satisfy that gender
Jioni hii nikiwa hapa nje kibarazani, nawasikia wanawake hapo koridoni wanamteta mshkaji mmoja hivi mpangaji kuwa anapenda mbunye lakini ni mbahili. Jamaa ana mwezi wa tatu tokea aondoke kwenda kijijini kuhudumia ujauzito, cha ajabu wanamsema kwa kutumia wakati uliopo. Nimejiongeza tu nikajua wananisema mimi

Enyi wanawake, sio kwamba hatupendi kuwapatia pesa, tunapenda sana tu, sema inategemeana na upatikanaji wake. Eti nikabebe zege nipandishe ghorofa ya tatu halafu niambulie afu tatu, halafu ndani ya wiki moja ya kuweka kibubu, ile nakivunja tu kutazama 12k yangu kama ipo, muda huo huo unatuma sms eti "Nitumie 10k nikasuke, usisahau na ya kutolea" Ewe mwanamke, jipigie tu hesabu ya ubinadamu ungekuwa mimi, jaribu tu kuvaa viatu vyangu, ungetoa? Basi sawa, let say moyo umeniambia nikutumie afu tatu, nakuuliza kama imefika unaishia kunitukana na kuniuliza kuwa hako ka kijisenti ndo kanakonifanya nikusumbue sumbue!

Muweni na huruma jamani. Mmepewa bure, basi tugeieni bure!
 
Wewe wasema! Hivi kwa Tanzania yetu hii ya leo, ni mwanamke gani utamuhonga kilo ya sukari akuchekee kama sio kukuponda nayo usoni?
Mwanamke wewe unayemsema ni yule unayefanya nae uasherati na zinaa. Wenye ndoa hawalalamiki
 
mm najifanya hanisi ila cku maokoto yaki break even point hata mungu mwenyewe hapati picha...
 
Back
Top Bottom