Enyi wanawake! Kuoelewa kwa mahari ya laki Tano ni aibu kwa mwanamke!

Enyi wanawake! Kuoelewa kwa mahari ya laki Tano ni aibu kwa mwanamke!

Hiyo ni biashara ya manunuzi, una nadi bidhaa mpaka mnunuzi afike bei
Na kama kawaida bei sokoni inategemea na ubora wa bidhaa.
Bikra thamani inakuwa juu sana,
bila bikra ila anajimudu kiuchumi inakuwa na thamani ya kawaida,
singo maza unapewa kama nyongeza ili ziondoke sokoni,
malaya hazina thamani hivyo unazikuta kwenye dust-bin.

😎
 
hiyo laki 5 ni nyingi mkuu. hebu jaribu kufikiria wangapi wameshamla halafu wewe unaoa unaeka ndani. mimi naona hata 50 elfu inatosha.
 
Kulipiwa mahari ni kununuliwa. Kataa Ndoa ulipaji mahari ni utapeli...unalipa ili iweje!
Shukrani kumlea binti, mwanaume yeye hajalelewa.

Anyway kuolewa kwa mahari ni kununuliwa jumla, wanawake kwanini msiuze rejareja mpate faida kubwa kwa bidhaa ileile.
 
hiyo laki 5 ni nyingi mkuu. hebu jaribu kufikiria wangapi wameshamla halafu wewe unaoa unaeka ndani. mimi naona hata 50 elfu inatosha.
Nimemtoa Mimi bikra je nisipomuoa maana yake bikra itaarudi au
 
Na kama kawaida bei sokoni inategemea na ubora wa bidhaa.
Bikra thamani inakuwa juu sana,
bila bikra ila anajimudu kiuchumi inakuwa na thamani ya kawaida,
singo maza unapewa kama nyongeza ili ziondoke sokoni,
malaya hazina thamani hivyo unazikuta kwenye dust-bin.

😎
Wazazi wanajuaje kama mtoto wao ni bikra?
 
Mkuu miaka hio m niliambiwa laki sita mahari

Mke mtarajiwa NKAMWAMBIA na laki 350000 tu
Nasio Sina kilankiwaza sita nzima nawaachia msinitanie

Huwezi amini GFriend akaenda kazini akapiga hny UKo wapi nikosehemuflan tukutane ubungo wale WA zamani WANAJUA kabla ya mataa ya ubungo kushoto kulikuwa na hotel nzuri tukajazana HAPO

Akaniambia hny tuache kuzini tuzae watoto wenye baraka jazi hiooo AKATOA 250"000. Akanipa 100000. Hii utaweka mafuta ukija na nduguzako Ngoma ilikuwa kibaha NKASEMA thx

NKaagiza wine somoo nkaagiza wali samaki ugali samaki iKAJA bill anataka kulipa nkamaliza

Nkaenda kwa mshenga NKAMWAMBIA ngoma jmosi inaishia hii nae nkamnyoosha na beer NNE hoi na kitimoto akapelka nyumban nkachapa lapa

Nilichokutana nacho n yanafurahisha siku ya kutoa mahari

KUFIKA nakutana na dada MMOJA tulipendana sana tukiwa olevel tukakimbizana kama miezi sita akanihis na mwanamke akaniacha

Tukakutana nae chuo huko ikawa ana mshikaji ila tukitaka yetu tunakutania ubungo kmr tunageuka

Mmh nimefika na familia nasikilizia nduzao mwanamke ANAKUJA wakaongea na simuwee..akawa kama akukumbuki ana drive HUYO NDUGU

GAFLA wakaenda kumchukua...yule mdada WA olevel..chuo.....kushuka akaja kwangu Moja kwa Moja weweeee mshenzi kwetu umekuja Fanya nn nkamwambiaa nimemleta mdogo wangu kuoaaa akachekaa hahaha YAAN EMBU njooo nkatoka...wife ANASHANGAA hahahaa..sijaelewa NKAMWAMBIA dogo amekuja kuona nae n ukoo WA ...NKAMWAMBIA ndio dogo wangu kabisa akasema kha JAMAN YAAN ndio maana nikikutaa unakuja tunaishinunanchafua nikikugomea nakukuta chuo...khaaaa

Wakati WA utambulisho umefika nkasimamishwa mwanamke ananiangalia hana hanmuuuuu

Akanisns yaaan weemsheeenziii khaaa Sina hamu nakutafuta kesho nkajibu Roger Roger.......
...INAENDELEA kesho
Kupata VITUKO kama hivi toa mahari ACHA uzinzi
 
Akiwa single mama ndiyo balaa zaidi hakuna mahari tena itabidi familia yake watoe ahsante kubwa kwa waoaji maana wamewatua gunia la mav!.

Huyo unaeona mahari 500K ndogo ana nini katikati ya mapaja?bikra anayo?
 
Katika ndoa zinazodumu miaka mingi ni hzi za laki 5.

Hizo za 30 milioni ni ndoa ya fashion na hazidumu hata miaka 3
 
Akiwa single mama ndiyo balaa zaidi hakuna mahari tena itabidi familia yake watoe ahsante kubwa kwa waoaji maana wamewatua gunia la mav!.

Huyo unaeona mahari 500K ndogo ana nini katikati ya mapaja?bikra anayo?
Alikuwa nayo nimezitoa mimi
 
Back
Top Bottom