Tulia wewe shangazi kwani tukichomoa laki mbili katika hii million moja na nusu sii inabaki 1.3mil...inatosha kwenye mchango wa kikobaBia 8000?au zimepanda tena bei?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe shangazi kwani tukichomoa laki mbili katika hii million moja na nusu sii inabaki 1.3mil...inatosha kwenye mchango wa kikobaBia 8000?au zimepanda tena bei?
Itoshe kusema umeiba moyo wangu.....Tulia wewe shangazi kwani tukichomoa laki mbili katika hii million moja na nusu sii inabaki 1.3mil...inatosha kwenye mchango wa kikoba
Pale jambazi wa mapenzi anapokutana na gaidi la mahaba.Itoshe kusema umeiba moyo wangu.....
Umesikia migogoro mingapi kwenye vikundi?Unaelewa vizuri kuhus mchezo au unaongea kulingana na uelewa wako? Huu mchezo unafany watu wananunuwa viwanja na huu mchezo unasaidia kulipa Ada mavyuoni unatuambiaj tuache?
Usisahau jioni tunakutana pale wavuvi camp sawa shangazi...tena vaa nguo ambayo KKK zote zinaonekana vizuriiiSasa nani jambazi nani gaidi kati yangu na mzabzab ?anyways nadhani tuta make a very perfect combo😅😅
Imeisha hiyo.Usisahau jioni tunakutana pale wavuvi camp sawa shangazi...tena vaa nguo ambayo KKK zote zinaonekana vizuriii
KKK ni nini?Usisahau jioni tunakutana pale wavuvi camp sawa shangazi...tena vaa nguo ambayo KKK zote zinaonekana vizuriii
Hahahaha...............sijui umewaza nini kusema hivyo Mkuu😜🙌Na wwe chupi ya mke wa mtu inakuhusu nini hadi unaulizia kama kanunuliwa chupi mpya na mumewe!!??
Duh, elfu 30 nayo ni hela ya kutumia wiki mbili 🙌Buku 30 mbona hela nyingi sana hiyo kwa wiki mbili....mke akishindwa budget hapo basi huyo sio wife material...anaendekeza anasa
Ukikaa nayo utaila pia akili inalala ile kudaiwa daiwa inachangamsha sana ubongo kuchakarika pia inapunguza matumizi yasiyo ya lazimaHivi kwani mtu anashindwaje kutunza ela yake yeye mwenyewe mpaka aanze kuingia kwenye michezo ya kuchangishana? Sababu yao kuu ni kwamba ukikaa nayo utaila,kwa hiyo ili usiile ni kuingia kwenye michezo ya hela.
Mzeya shukuru kama wee hiyo unagonga msosi mmojaDuh, elfu 30 nayo ni hela ya kutumia wiki mbili 🙌
Mwanamke wa mithali 31Siwez kuacha mchezo labda mniue
Nakuona mzee wa 3some kwa 800k [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Buku 30 mbona hela nyingi sana hiyo kwa wiki mbili....mke akishindwa budget hapo basi huyo sio wife material...anaendekeza anasa
Kuomba pesa ya mchezo ni upuuzi wa kiwango cha lamiHalafu tunaoumia ni sisi wanaume, kutwa kuombwa pesa za mchezo , huwa nasikia hasira sana kuombwa pesa za michezo.., maana wakati wa kuvunja hivyo vikoba wala hushirikishwi, ila kwenye kuweka sasa..
Nakuona mzee wa 3some kwa 800k [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]