Enyi wanawake wa Tanzania nani aliwaloga kuhusu michezo ya kuwekeana pesa?

Enyi wanawake wa Tanzania nani aliwaloga kuhusu michezo ya kuwekeana pesa?

Unaelewa vizuri kuhus mchezo au unaongea kulingana na uelewa wako? Huu mchezo unafany watu wananunuwa viwanja na huu mchezo unasaidia kulipa Ada mavyuoni unatuambiaj tuache?
Umesikia migogoro mingapi kwenye vikundi?
 
Hawa wanawake wanaocheza michezo, sijui rejesho wanakuaga easy target kwa sie ma scavenger (mafisi).
 
Hivi kwani mtu anashindwaje kutunza ela yake yeye mwenyewe mpaka aanze kuingia kwenye michezo ya kuchangishana? Sababu yao kuu ni kwamba ukikaa nayo utaila,kwa hiyo ili usiile ni kuingia kwenye michezo ya hela.
 
Na wwe chupi ya mke wa mtu inakuhusu nini hadi unaulizia kama kanunuliwa chupi mpya na mumewe!!??
Hahahaha...............sijui umewaza nini kusema hivyo Mkuu😜🙌

Unataka niseme kwamba nimewahi kuzivua kadhaa ili nipopolewe mawe😜
 
Hivi kwani mtu anashindwaje kutunza ela yake yeye mwenyewe mpaka aanze kuingia kwenye michezo ya kuchangishana? Sababu yao kuu ni kwamba ukikaa nayo utaila,kwa hiyo ili usiile ni kuingia kwenye michezo ya hela.
Ukikaa nayo utaila pia akili inalala ile kudaiwa daiwa inachangamsha sana ubongo kuchakarika pia inapunguza matumizi yasiyo ya lazima
 
Halafu tunaoumia ni sisi wanaume, kutwa kuombwa pesa za mchezo , huwa nasikia hasira sana kuombwa pesa za michezo.., maana wakati wa kuvunja hivyo vikoba wala hushirikishwi, ila kwenye kuweka sasa..
Kuomba pesa ya mchezo ni upuuzi wa kiwango cha lami
 
Back
Top Bottom