unataka kusema machinga ndio watakuwa matajiri?? [emoji28]
Unawachukulia machinga poa? Machinga Ameshika mabegi na vitu vya kuzugia begi moja jipya ana mrungi na kete za bangi unamuona machinga anazurura kwa magufuli bus terminal lakini kila jioni hesabu anayofunga wewe kaote ndio utaipata