Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Uzi wako hauna mantiki ,, ungesema Maisha ya mwanadamu bila kutumia akili kutoboa ni kazi Sana,,na wengi wanaotumia akili zaidi kwa Nchi kama ya Tanzania ndio waliotoboa,, eti kukamatwa na kulala police ndio kipimo cha kutoboa utasubiri Sana,, mwisho utaishia jela...Enyi wapambanaji, "Kama kazi yako, hujawahi kutana na polisi au vyombo vya usalama" kuwa tajiri Ni ndoto!
Utakuwa na maisha ya kawaida Sana, shida ZITAKUWA nawe kila siku, lakini kamwe hutoweza kuwa tajiri ktk maisha haya.
"Lakini Kama kazi yako unayoifanya una misuko suko ya kukutana na polisi,kamatia hapohapo,lazima utoboe"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sisi madereva wa bodaboda kila siku tunakamatwa na ni matajiri kwerikweri
Miso, ni dawa ya vidonda vya tumbo lakini wanawake wanatumia kwenye kutolea mimba, bei ya jumla ni 200, pharmacy ni 1000 ila uwe na cheti cha Daktari, njia za panya wanauza mpaka 45,000Kitu gani icho cha 1000 unauza 35,000?
Wapi misoprostol inauzwa 200 au 1000?? Bei yake ni 2000, alafu machinga atatolea wapi miso? Inayouzwa mtaani kwa 45,000 ni combipack ya Misoprostol na Mifeprestine ambayo unaipata kwa 10,000 jumla.Miso, ni dawa ya vidonda vya tumbo lakini wanawake wanatumia kwenye kutolea mimba, bei ya jumla ni 200, pharmacy ni 1000 ila uwe na cheti cha Daktari, njia za panya wanauza mpaka 45,000
Hao pesa wanayo ila wanaendekeza wanawake .Ingekua hivyo bodaboda wote wangekua mabilionea, maana kila siku wanalala polisi
Inawezekana ndugu huna tafasiri halisi ya neno machingaWapi misoprostol inauzwa 200 au 1000?? Bei yake ni 2000, alafu machinga atatolea wapi miso? Inayouzwa mtaani kwa 45,000 ni combipack ya Misoprostol na Mifeprestine ambayo unaipata kwa 10,000 jumla.
NarudiaUna akili na uelewa mdg sana boss
Unamaanisha kwamba utajiri lazima uendane na uvunjwaji wa sheria?Enyi wapambanaji, "Kama kazi yako, hujawahi kutana na polisi au vyombo vya usalama" kuwa tajiri Ni ndoto!
Utakuwa na maisha ya kawaida Sana, shida ZITAKUWA nawe kila siku, lakini kamwe hutoweza kuwa tajiri ktk maisha haya.
"Lakini Kama kazi yako unayoifanya una misuko suko ya kukutana na polisi,kamatia hapohapo,lazima utoboe"
Naona unaelekea kutaka kusema machinga wanauza prescription drugs!! Mimi naishia hapa 🙌 😅Inawezekana ndugu huna tafasiri halisi ya neno machinga