Enyi wazee wa Kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya

Enyi wazee wa Kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Enyi wazee wa kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya, mnang’ang’ania kana kwamba hamjazaa

Enyi wazee wetu miaka 60 ya kustaafu imeshatimia bado hamuachii viti mmekua kama hamjazaa mbona vijana tupo

Vijana wenye ujuzi mpya wapo mitaani wanahangaika ninyi hamtaki kuwapisha mmewazaa na kuwasomesha wa kazi gani

Mmeharibu kabisa maana ya neno kizazi kipya sasa
Degree ya 1990 sio sawa na ya 2020 tunataka maendeleo mapya

Nendeni nyumbani mkapumzike mkalee wajukuu waacheni vijana wawasaidie kazi au hamchokagi

Tunathamini sana mchango wenu tuje tusaidie kumaliza palipobakia

Igeni mfano kwa Mzee Makamba

View: https://youtu.be/2YigRsgYj5E?si=aj2Mp7wgp1SIsFWC
 
Enyi wazee wa kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya, mnang’ang’ania kana kwamba hamjazaa

Enyi wazee mmekuwa kama hamna jicho la aibu, miaka 60 ya kustaafu imeshatimia bado hamuachii viti mmekua kama hamjazaa au tuanze utaratibu wa kuwazomea?

Vijana wenye ujuzi mpya wapo mitaani wanahangaika ninyi hamtaki kuwapisha mmewazaa na kuwasomesha wa kazi gani

Mmeharibu kabisa maana ya neno kizazi kipya wala aibu hamuoni
Degree ya 1990 sio sawa na ya 2020 ndio maana hatupati maendeleo mapya kwasababu yenu

Nendeni nyumbani mkalee wajukuu waacheni vijana wafanye kazi
Hatutaki,kalimeni mashamba,nguvu mnazo tuache tufie ofisini!
 
Hakuna mtu anaendelea na ajira baada ya miaka 60, Kwa maana ndiyo umri wa kustaafu Kwa lazima Kwa Mtumishi wa Umma.

Baadhi ya waliokwisha kujipanga hupenda kustaafu wakiwa na miaka 55

Kuna msemo unasema kama hukushiba kwenye sahani hutashiba Jikoni
 
Enyi wazee wa kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya, mnang’ang’ania kana kwamba hamjazaa

Enyi wazee mmekuwa kama hamna jicho la aibu, miaka 60 ya kustaafu imeshatimia bado hamuachii viti mmekua kama hamjazaa au tuanze utaratibu wa kuwazomea?

Vijana wenye ujuzi mpya wapo mitaani wanahangaika ninyi hamtaki kuwapisha mmewazaa na kuwasomesha wa kazi gani

Mmeharibu kabisa maana ya neno kizazi kipya wala aibu hamuoni
Degree ya 1990 sio sawa na ya 2020 ndio maana hatupati maendeleo mapya kwasababu yenu

Nendeni nyumbani mkalee wajukuu waacheni vijana wafanye kazi
Tuondoke tuende wapi wewe kijana mvivu wa kufikiri na kutenda, hata kama tuta kuachia offisi kwa akili zako hizi sijui kama nchi itasogea hata nusu hatua
 
Tatzo ni. :-
Mifumo
Siasa - huw mnawaach wana siasa bila kuwasimamia ,

Nililikia mbez pale kuna askari Tp wamerudshwa kazn.
 
Enyi wazee wa kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya, mnang’ang’ania kana kwamba hamjazaa

Enyi wazee wetu miaka 60 ya kustaafu imeshatimia bado hamuachii viti mmekua kama hamjazaa mbona vijana tupo

Vijana wenye ujuzi mpya wapo mitaani wanahangaika ninyi hamtaki kuwapisha mmewazaa na kuwasomesha wa kazi gani

Mmeharibu kabisa maana ya neno kizazi kipya sasa
Degree ya 1990 sio sawa na ya 2020 tunataka maendeleo mapya

Nendeni nyumbani mkapumzike mkalee wajukuu waacheni vijana wawasaidie kazi au hamchokagi

Tunathamini sana mchango wenu tuje tusaidie kumaliza palipobakia

Igeni mfano kwa Mzee Makamba

View: https://youtu.be/2YigRsgYj5E?si=aj2Mp7wgp1SIsFWC

Kwani mama S ana mingapi!?
 
Kumbe kuna waliofikisha umri wa kustaafu na bado tu wapo maofisini!!🫢..
Enyi wazee wa kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya, mnang’ang’ania kana kwamba hamjazaa

Enyi wazee wetu miaka 60 ya kustaafu imeshatimia bado hamuachii viti mmekua kama hamjazaa mbona vijana tupo

Vijana wenye ujuzi mpya wapo mitaani wanahangaika ninyi hamtaki kuwapisha mmewazaa na kuwasomesha wa kazi gani

Mmeharibu kabisa maana ya neno kizazi kipya sasa
Degree ya 1990 sio sawa na ya 2020 tunataka maendeleo mapya

Nendeni nyumbani mkapumzike mkalee wajukuu waacheni vijana wawasaidie kazi au hamchokagi

Tunathamini sana mchango wenu tuje tusaidie kumaliza palipobakia

Igeni mfano kwa Mzee Makamba

View: https://youtu.be/2YigRsgYj5E?si=aj2Mp7wgp1SIsFWC
 
Wamesema wakifikisha miaka 68 ndo watapumzika daaah inauma acha tumuachie mungu jamaaa ana asilimia NDOGO sanaaaa MBOWE MI 5 TENAAAAA
 
Kuna vizee vingine vimefoji umri ili viendelee kuajiriwa
 
Back
Top Bottom