Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku mwanzo ni ngumu sana, ila ukizoea mambo safi kabisa.wee said Kerren,nambie dada experience yako siku ya kwanza afande anakurushia bukta na T shirt kisha anakwambia hilo ndo gauni lako la harusi?
ngoja tuwaite vingunge wa jukwaa la siasa waje wajibu hii hoja,sisi wengine ni magwiji wa mmu na chit chat.
Mimi mwaka 1981 nilipangiwa Oljoro....nilikuwa C coy
Igo Coy - Folen. Igo Coy -Folen. Igo Coy Folen. Afande chupi yangu ya Bluu imeibwa..!!!!lete ma song basi...chale koy chapa kazi chale koy chapa kazi...
Bishanga... Ulikuwa kambi ya kuangushia.selule mwenyewe! Mi nilikuwa mtunza bustani bana ruvu fire coy,ila kwa wizi wa nyama (kijeshi inaitwa kusogeza) mi ndo nilikuwa mwenyewe,naziibua za moto kwenye gudulia.Siku moja MP akanibamba live,nikafungwa peki bega na mzigo wa nyama,siku nzima nikakimbizwa uwanjani naimba...'mimi mwizi wa nyama'...hahahahaaa jkt bana!
Mafinga JKT, Operation Tija; E-Coy. Baridi kali mno hadi kunguru anashindwa kuruka lakini ww unapangwa guard Changarawe. Life ilikuwa nzuri sana. Yaani ww unawaza saa za chungulia pipa na Unaplan jinsi ya kujongomea bc.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
835kj Mgambo Tanga
Maleela malela ....wangu naktafua
Inai nai amba, yafanana amba na jeshi letu amba..hakuna mwingine
Acha bhana dah. Chezea shamba dunia kwa komsanga na genda genda hahaha.
Mengi sana...Hongera sana
Umejifunza nini?
Kitu Dcoy alafu ukute Sir major mkalakara haha.hongereni ila A coy na C coy huwa ni kombania sukari sana wanaishi na wakufunzi wao kama wapo na wazabuni ....maisha magumu nilyopitia ni TMA lol
Mkuu nilijua utabase Jkt tu hata kama ulikuwa intake ya moja kwa moja to TMA. Ila usinikumbushe zile route marches kupita vijiji vya wamasai, mguu wa Zuberi na kubeba jeneza la brigadier haha.. It was an awesome memoryhongereni ila A coy na C coy huwa ni kombania sukari sana wanaishi na wakufunzi wao kama wapo na wazabuni ....maisha magumu nilyopitia ni TMA lol
Mengi sana...
Sio sehemu yake hii mkuu. Kinachopaswa kujulikana ni uzalendo, ukakamavu na ujasilia Mali that's all.Kama mambo gani?
Sio sehemu yake hii mkuu. Kinachopaswa kujulikana ni uzalendo, ukakamavu na ujasilia Mali that's all.
Sana.Kuruta mko wengi humu