Enzi hizo JKT....

Enzi hizo JKT....

tunawakumbukaaaa..., mashujaaa wetu, waliokufa kwa mapambano x 2.....,, huu wimbo ulikua unaliza watu maana kuna watu kipindi ile kaka zao, mabinamu walikua wamepotea vita ya uganda..,

Afu kuna...., maaama, maaama maaama.., kiuno changu mie..,
chauma uma,
Mama naumia mwanao....,
Chauma uma uma.....,
Mamaaa nifanyee nn...,
Chauma uma...,
Jeshi nimetaka mwenyewe...,
maaaama,, maaaama, maaama, mgongo wangu mm...,
Wauma uma...etc, etc

Dah!!! Watu walikua wanalia likipigwa hili solo
 
  • Thanks
Reactions: a45
wee said Kerren,nambie dada experience yako siku ya kwanza afande anakurushia bukta na T shirt kisha anakwambia hilo ndo gauni lako la harusi?
Siku mwanzo ni ngumu sana, ila ukizoea mambo safi kabisa.
 
selule mwenyewe! Mi nilikuwa mtunza bustani bana ruvu fire coy,ila kwa wizi wa nyama (kijeshi inaitwa kusogeza) mi ndo nilikuwa mwenyewe,naziibua za moto kwenye gudulia.Siku moja MP akanibamba live,nikafungwa peki bega na mzigo wa nyama,siku nzima nikakimbizwa uwanjani naimba...'mimi mwizi wa nyama'...hahahahaaa jkt bana!
Bishanga... Ulikuwa kambi ya kuangushia.

Ruvu wanaenda selule nanga wa bregedia.
 
835kj Mgambo Tanga
Maleela malela ....wangu naktafua
Inai nai amba, yafanana amba na jeshi letu amba..hakuna mwingine
Acha bhana dah. Chezea shamba dunia kwa komsanga na genda genda hahaha.
 
hongereni ila A coy na C coy huwa ni kombania sukari sana wanaishi na wakufunzi wao kama wapo na wazabuni ....maisha magumu nilyopitia ni TMA lol
 
835kj Mgambo Tanga
Maleela malela ....wangu naktafua
Inai nai amba, yafanana amba na jeshi letu amba..hakuna mwingine
Acha bhana dah. Chezea shamba dunia kwa komsanga na genda genda hahaha.

Hongera sana
Umejifunza nini?
 
hongereni ila A coy na C coy huwa ni kombania sukari sana wanaishi na wakufunzi wao kama wapo na wazabuni ....maisha magumu nilyopitia ni TMA lol
Kitu Dcoy alafu ukute Sir major mkalakara haha.
 
hongereni ila A coy na C coy huwa ni kombania sukari sana wanaishi na wakufunzi wao kama wapo na wazabuni ....maisha magumu nilyopitia ni TMA lol
Mkuu nilijua utabase Jkt tu hata kama ulikuwa intake ya moja kwa moja to TMA. Ila usinikumbushe zile route marches kupita vijiji vya wamasai, mguu wa Zuberi na kubeba jeneza la brigadier haha.. It was an awesome memory
 
Back
Top Bottom