666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Unakumbuka enzi izo za vibomu? wengine wakiita nondo, uangaliziaji na makamati ya kimkakati wakati wa mitihani mashuleni? ujanja ujanja wa kila namna ilimradi tu watu wafaulu mitihani.
Baadhi ya matukio
Tuko necta ya fomu 6 kuna demu mmoja aka kamatwa na ki karatasi kimekunjwa kwa ustadi mkubwa sana ndani yake kuna topic karibia zote za ilo somo, msimamizi akapiga kelele wakaja wenzake, kiboom kina urefu wa kama rula iv, shule ikaishia hapo.
Sasa mitihani ya ndani ya shule ndio ilikua noma, kuna mademu hao walikuaga hawajisumbui kusoma, siku za mitihani wanajichora kwenye mapaja topic za muhimu tu.
Wengine walikua wanaandika nondo za muhimu kwenye madawati wanayo kaa kwa ustadi mkubwa na kwa kifupi sana, hauwezi kujua ila yeye ndio anajua tu, ilo dawati akikuta kesho kwenye chumba cha mtihani halipo anaanza kuchanganyikiwa.
Kulikua na wataalam wanaandika vibomu, ka karatasi kadogo ila ndani kamejazwa topics zote na anakaweka nyuma ya booklet anateleza tu😂😂
Daah zamani kufaulu ilikua mbinu, unakuta jamaa wana akili sana darasani ila kila necta lazima wafeli. Kuna wahuni walikua wanakaa kamati, kila mtihani unafanyiwa mkakati mzito sana, jibu linaanzia kwa wa 1 ila linafika mpaka kwa 7.
kuna watu walikuaga wanaanza kusoma hesabu ile rasmi kabisa wiki moja kabla ya necta, baada ya kua wameiacha kama miaka miwili iv😂😂 Sijui wewe unakumbuka nini enzi izo!
Baadhi ya matukio
Tuko necta ya fomu 6 kuna demu mmoja aka kamatwa na ki karatasi kimekunjwa kwa ustadi mkubwa sana ndani yake kuna topic karibia zote za ilo somo, msimamizi akapiga kelele wakaja wenzake, kiboom kina urefu wa kama rula iv, shule ikaishia hapo.
Sasa mitihani ya ndani ya shule ndio ilikua noma, kuna mademu hao walikuaga hawajisumbui kusoma, siku za mitihani wanajichora kwenye mapaja topic za muhimu tu.
Wengine walikua wanaandika nondo za muhimu kwenye madawati wanayo kaa kwa ustadi mkubwa na kwa kifupi sana, hauwezi kujua ila yeye ndio anajua tu, ilo dawati akikuta kesho kwenye chumba cha mtihani halipo anaanza kuchanganyikiwa.
Kulikua na wataalam wanaandika vibomu, ka karatasi kadogo ila ndani kamejazwa topics zote na anakaweka nyuma ya booklet anateleza tu😂😂
Daah zamani kufaulu ilikua mbinu, unakuta jamaa wana akili sana darasani ila kila necta lazima wafeli. Kuna wahuni walikua wanakaa kamati, kila mtihani unafanyiwa mkakati mzito sana, jibu linaanzia kwa wa 1 ila linafika mpaka kwa 7.
kuna watu walikuaga wanaanza kusoma hesabu ile rasmi kabisa wiki moja kabla ya necta, baada ya kua wameiacha kama miaka miwili iv😂😂 Sijui wewe unakumbuka nini enzi izo!