Hplp2275H
JF-Expert Member
- Jan 21, 2021
- 556
- 1,660
πππ wengine Tulikuwa hatuambiwi hivyo.. Bse ukinambia hivyo sirudii nahamia kwa shangazi,Bibi mkubwa Kijiji Cha tatu huku nakaa wiki nasema bibi/baba au mama ataniua ... Siku ya kurudishwa narudishwa kishujaaa...πππNaanza:
Enzi hizo mzazi akitaka kukuadhibu kwanza anakuagiza mwenyewe ukalete fimbo, sasa kalete fimbo ya kizembe uone. Fimbo pendwa ilikua mpera....Hebu tukumbishie na wewe enzi hizo [emoji2][emoji2][emoji2]
Ulitaka unichape nimefanya kosa yapasa uvizie au unidanganye..
Like hey embu ingia ndani angalia hayo maziwa Kama yameshaganda uje nayo na kibiriti Tuwashe Moto ..Nkupikie ugali...
(Ugali maziwa dah ...ulinifanya niwe zuzu ..nkifanya kosa nakamatika kiulaini Sana)
Ila siku moja nilipigwa ..mnoo ...nilimchungulia mwalimu mkuu then nkapikiwa huo ugali aaargh Toka siku hiyo ndoa ilikufa ...maana kipigo kilikuwa heavy...