Enzi ninajiunga na JF

Enzi ninajiunga na JF

Mtu akinimention siwezi kuona Kama natumia app, ni mpaka nitumie browser.

Cc: Maxence Melo
Hili nafikiri lilishawashinda maana ni tatizo la nuda mrefu sana. Hata hivyo hii app ya sasa hivi naona ndio ya hovyo zaidi.
 
Enzi najiunga mimi JF bana....ilikuwa motoo. Kwa kuanzia kulikuwa hakuna simu janja wala wozap.

Nani anakumbuka mambo ya yahoo messenger na MSN messenger?

Acheni bana. PM zilikuwa PM kweli. Afu watu walikuwa na vifua.

#Mudamchachemambonimengi#

Cc Asprin snowhite gfsonwin mwallu Bigirita GY Washawasha Passion Lady sweet lady Arushaone Filipo Mzee wa Rula @blaki woman na wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa!
Ilikuwa nzuri mnooo!
Halafu ni kama ilikuwa haihitaji mkutane ili mclick!
Tulikuwaga na mutual understanding ya kibaaaaaaabe kabisa!
Miss them old good days!
KATIKA WATU NAWATAFUTA NI Kongosho , Connie please!
please yani! yu just vanished in a then air!
Miss you girl!
 
Acha kabisa!
Ilikuwa nzuri mnooo!
Halafu ni kama ilikuwa haihitaji mkutane ili mclick!
Tulikuwaga na mutual understanding ya kibaaaaaaabe kabisa!
Miss them old good days!
KATIKA WATU NAWATAFUTA NI Kongosho , Connie please!
please yani! yu just vanished in a then air!
Miss you girl!
Shyland yuko wapi?
 
Acha kabisa!
Ilikuwa nzuri mnooo!
Halafu ni kama ilikuwa haihitaji mkutane ili mclick!
Tulikuwaga na mutual understanding ya kibaaaaaaabe kabisa!
Miss them old good days!
KATIKA WATU NAWATAFUTA NI Kongosho , Connie please!
please yani! yu just vanished in a then air!
Miss you girl!
Huyo aliyekuja kumuoa Kongosho nadhani akamfungia mazima. Kakata internet kama Congo ma zimbabwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom