Umenikumbusha mbaliHis Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.
Angalia hiki kitoa nyaaa wewe una Akili kweli au kwa vile unaangalia tu shimoni muda wote?.Ilileta tija ipi fukuza fukuza yake? Kwasababu aliishia lufurahisha mbulula kama wewe ambae hujui chochote kuhusu kodi tatizo likabaki pale pale
Kumbe wewe mtu wa hovyo, nitaondoka JF maana wameruhusiwa mkusanyiko wa watu wa hovyoWell said
Rwankomezi Jina la Kirundi au huko Biharamulo, Ngara and to some extent RwandaAngalia hiki kitoa nyaaa wewe una Akili kweli au kwa vile unaangalia tu shimoni muda wote?.
Yule mwamba Kwanza angeenda mwenyewe angepanda ndege/gari nakwenda ongea nao. ..namaagizo yangetoka hapohapo kesho watu wangekua mzigoniHata mgomo usingetokea angenyaka taarifa mapema akanyoa watu kwa chupa.
Hadi watu wanafikia Hatua ya kugoma maana yake
serikali ni hopeless haijali matatizo ya raia wake.
Mgomo ni uamuzi wa mwisho katika kuvumilia manyanyaso
Yeye ndio alileta tusk force kariakoo za wahuni wakeWatumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Hukaelewa hoja yangu, nakusamehe tu kwa vile siyo wote wanaosoma wana akili ya kuelewaHivyo vyama viligoma lini.?. Acheni mikodi ya kidwanzi mnaumiza raia
Tatizo ni Mama, yeye yuko bize kula kungu tuWatumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Kipindi chake ndio TRA walinyanyasa zaidi wafanyabiashara na biashara zilifungwa sana. Hata hayo mambo ya task force yalishamiri sana kipindi hicho sema watu walikuwa wanaogopa sana utawala.Hata mgomo usingetokea angenyaka taarifa mapema akanyoa watu kwa chupa.
Hadi watu wanafikia Hatua ya kugoma maana yake
serikali ni hopeless haijali matatizo ya raia wake.
Mgomo ni uamuzi wa mwisho katika kuvumilia manyanyaso
Toka nje ya box ulilojifungia. Angeondoka na vichwa ili iweje? Japo elimu yetu ni janga kubwa lakini kama umefika form 4 na una mawazo haya basi ni hasara tupu.Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Makala Yupo Mwanza ,Chalamila dar Think big we kilazaToka nje ya box ulilojifungia. Angeondoka na vichwa ili iweje? Japo elimu yetu ni janga kubwa lakini kama umefika form 4 na una mawazo haya basi ni hasara tupu.
Ondoka tu bwashee hujafungwa kamba hapa ndaniKumbe wewe mtu wa hovyo, nitaondoka JF maana wameruhusiwa mkusanyiko wa watu wa hovyo
Waziri mkuu pia kapingana naye!Jamani waziri amesema hakuna mgomo nyie mnabisha mbona mnapingana na mh waziri nyie?
Nyie ndiyo wale watafuna mali za umma pamoja na vyeti feki.Migomo ni njia ya kufikia suluhisho la malalamiko yao. Hivyo kumsifia Magufuli kuwa angewakata vichwa na dalili ya kuonyesha kuwa utawala wake ulikuwa wa KIDIKTETA
Eti mtupisheeee, stupid..., sasa ndio nini? Chukua actionWatumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga