Enzi za Hayati Magufuli Leo angeondoka na Vichwa kariakaoo

Enzi za Hayati Magufuli Leo angeondoka na Vichwa kariakaoo

Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.


Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Aliyeanzisha task force ni nani kama siyo huyo huyo?
 
Badala ya kutafakari namna Bora kutatua tatizo Kwa hekima na mpango endelevu wewe unasifia Mipango iliyoshindwa
 
Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.


Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Vichwa vya Mbuzi au Kondoo!
 
Huko inaitwa kucheza na JUKWAA. Unakata chenga nyingi unapiga matobo na makanzu, unapigiwa makofi lakini hufungi goli.

Huo UJINGA wa kutumbua wafanyakazi kwenye jukwaa ili upigiwe makofi ulizikwa na kichaa wa Chato Machi 2021.

Njia bora ni umepata tatizo, sikiliza pande zote mbili, pata na ushauri wa watu wako kwenye sekta ongeza na washauri wa ofisi yako kisha chukua hatua.

Uongozi ni hekima, busara na kipaji. Magufuli hakuwa na vyote hivyo ndiyo maana alikuwa anapuyanga kwa maguvu
Mtu mweusi Kwa kumuongoza Kwa utaratibu hu utaambuliaaa mabua ....mtu mweusi mpeleke mpwetapwetaa ndo atafanya KAZI vizuri lakini kwa style Iyo unayosemaa wewe utaambulia mabua hasa Kwa viongozi wetu
 
Mtu mweusi Kwa kumuongoza Kwa utaratibu hu utaambuliaaa mabua ....mtu mweusi mpeleke mpwetapwetaa ndo atafanya KAZI vizuri lakini kwa style Iyo unayosemaa wewe utaambulia mabua hasa Kwa viongozi wetu
Ndiyo shida yenu. Tayari umejidharaulisha kuonyesha kuwa wewe na weusi wenzio hamtumii akili mpaka mpelekwe kwa mabavu.

This inferiority complex is of the highest order
 
Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.


Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Magufuli alikuwa mualibifu tu mtu gani hasie shauliwa kila kitu yeye tu wapumbavu ndio wanao msifia
 
Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.


Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Na mwenyekiti wa wafanyabiashara angeokotewa kuleee kwenye ule msitu wetu nje kidogo ya Daslamu [emoji23] [emoji23]
 
Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.


Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Rule of lawa vs rule of thumb????
 
Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.


Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Huyu mungu wako halikuwa mshenzi tu
 
Back
Top Bottom