Aliyeanzisha task force ni nani kama siyo huyo huyo?Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Si mlisharudisha pesa walizonyang'anywa wafanyabiashara mbona wanagoma tena?Aliyeanzisha task force ni nani kama siyo huyo huyo?
Task force kulikuwa kikundi maslahi ndio maana hawataki kujiondoa kwenye hiyo haramu!! Rushwa tupu!!Aliyeanzisha task force ni nani kama siyo huyo huyo?
Vichwa vya Mbuzi au Kondoo!Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Hata wewe[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Magufuli ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mtu mweusi Kwa kumuongoza Kwa utaratibu hu utaambuliaaa mabua ....mtu mweusi mpeleke mpwetapwetaa ndo atafanya KAZI vizuri lakini kwa style Iyo unayosemaa wewe utaambulia mabua hasa Kwa viongozi wetuHuko inaitwa kucheza na JUKWAA. Unakata chenga nyingi unapiga matobo na makanzu, unapigiwa makofi lakini hufungi goli.
Huo UJINGA wa kutumbua wafanyakazi kwenye jukwaa ili upigiwe makofi ulizikwa na kichaa wa Chato Machi 2021.
Njia bora ni umepata tatizo, sikiliza pande zote mbili, pata na ushauri wa watu wako kwenye sekta ongeza na washauri wa ofisi yako kisha chukua hatua.
Uongozi ni hekima, busara na kipaji. Magufuli hakuwa na vyote hivyo ndiyo maana alikuwa anapuyanga kwa maguvu
Ndiyo shida yenu. Tayari umejidharaulisha kuonyesha kuwa wewe na weusi wenzio hamtumii akili mpaka mpelekwe kwa mabavu.Mtu mweusi Kwa kumuongoza Kwa utaratibu hu utaambuliaaa mabua ....mtu mweusi mpeleke mpwetapwetaa ndo atafanya KAZI vizuri lakini kwa style Iyo unayosemaa wewe utaambulia mabua hasa Kwa viongozi wetu
Magufuli alikuwa mualibifu tu mtu gani hasie shauliwa kila kitu yeye tu wapumbavu ndio wanao msifiaWatumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Kuna jitu pale ,lile livaa tai ya rangi 3 shingoni LINAMHUJUMU SANA MADAM. Sijui halioni?Si mlisharudisha pesa walizonyang'anywa wafanyabiashara mbona wanagoma tena?
Na mwenyekiti wa wafanyabiashara angeokotewa kuleee kwenye ule msitu wetu nje kidogo ya Daslamu [emoji23] [emoji23]Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Rule of lawa vs rule of thumb????Watumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga
Sema kweli bhana moderators wamwage mboga uumbuke kwa fake IDs zingine [emoji16]Kumbe wewe mtu wa hovyo, nitaondoka JF maana wameruhusiwa mkusanyiko wa watu wa hovyo
Jamaa ana mikwara ya kitoto sana, hivi anawachukuliaje Wana JF? [emoji3]Ondoka tu bwashee hujafungwa kamba hapa ndani
Huyu mungu wako halikuwa mshenzi tuWatumishi wa umma Kwa sasa wamejaa viburi na dharau wanajua fika kabisa Mzee Baba hayupo na serikali ni dhaifu Bin taabani.
Enzi zile Kelele hizi zingelambisha watu mchanga Leo, ila ndo hivyo tena hii serikali yakustwa tu afu unaachwa uendelela na Ujinga ujinga