Enzi za mwalimu 199...

Enzi za mwalimu 199...

Nimekumbuka mdako na utu uzima huu kuna muda hua nacheza na watoto Wangu

Kombolele nyumba mbovu zilitukoma

Makidamakida dah!!

Kibaba na kimama ..nilikula sana ubwabwa..maana mtoto mie kila siku nilikua nafanyiwa besidei

Ila sisahau rede ya mstari kati nilivyopigwagwa ndei la kifuani..niliumwa week nzima

Enzi za 199 tulienjoy bana
Haha mi lede ilinitegua mguu
Mpaka nikawekewa muhogo(pop)
Sijisahau
Nimerudi usiku nyumbani sijaoga,wacha kaka anipige na chelewa miguuni
Namwambia nimevunjika mguu hasikii

Ilikuwa inshu nilipo amka asubuhi mguu kama umewekwa hamira aaaa we acha tu,mama siku hiyo hata magari nahisi hakuyaona maana nilibebwa mgongoni hadi Hosp,na ilikuwa mbali,ukizingatia wakike peke yangu mziwanda daaah

R.I.P mama.
 
Huhu kombolela bhana,ilikuwa kombolela kweli.

Ila mi sijawahi vua
yna2
[emoji23][emoji23]

Usinikumbushe kwenye kuvua..kuna rafiki yeye alikua anapenda sana jificha ingawa wote tulikua tuajificha kumbe yeye alikua na mtoto mwenzetu wanafanya yao

Hiyo siku wacha tuwatafute kumbe wameshavuana pichu kitambo yule wa kike anaingizwa vijiti..hatukumkawiza tukaenda msemea kwa mama ake ...alikula mbata ile siku hatari
 
[emoji23][emoji23]

Usinikumbushe kwenye kuvua..kuna rafiki yeye alikua anapenda sana jificha ingawa wote tulikua tuajificha kumbe yeye alikua na mtoto mwenzetu wanafanya yao

Hiyo siku wacha tuwatafute kumbe wameshavuana pichu kitambo yule wa kike anaingizwa vijiti..hatukumkawiza tukaenda msemea kwa mama ake ...alikula mbata ile siku hatari
Haha
Bora Mimi nilikuwa najificha chini ya kochi peke yangu

Hahaha,huyo wa kuingiziwa kijiti noma sana aisee
Utoto bhana.
 
1542194258905.png
 
Back
Top Bottom