johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Najikumbusha tu namna viongozi wa umma walivyoishi kwa maadili yasiyotia shaka enzi za awamu ya kwanza ya JK Nyerere.
Waziri kununua pikipiki 25 kwa fedha taslimu wakati wa kuelekea uchaguzi lazima angeitwa na tume ya maadili pale jirani na Avalon cinema kujieleza.
Yote kwa yote namuunga mkono Dr Kigwangalla kwa kuzitetea sh bilioni 20 za Simba SC ambazo Mo Dewji anadaiwa.
Maendeleo hayana vyama!
Waziri kununua pikipiki 25 kwa fedha taslimu wakati wa kuelekea uchaguzi lazima angeitwa na tume ya maadili pale jirani na Avalon cinema kujieleza.
Yote kwa yote namuunga mkono Dr Kigwangalla kwa kuzitetea sh bilioni 20 za Simba SC ambazo Mo Dewji anadaiwa.
Maendeleo hayana vyama!