johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Wakati wa Ujamaa.Kumbuka rais wa sasa wa Urusi ameishi TZ
View attachment 2133564
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa Ujamaa.Kumbuka rais wa sasa wa Urusi ameishi TZ
View attachment 2133564
Mawazo hayana uhalisia, Marekani akae pembeni Tanzania iunge mkono ?Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lisu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema wakiamua wanaweza kupeleka Red Brigade.Hata sasa CCM HAIJAAMUA TU
Ukraine inahitaji wapiganaji wa kujitolea kutoka kote duniani.Je. Enzi za soko uria tunalazimishwa kuiunga mkono EU na NATO?
Kumbe wewe ni dogo sana kwenye international politics. Toka enzi za cold war, Tanzania is, and has always been a non aligned state, hatufungamani na upande wowote.Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande...
Umekosa cha kuandika?Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lisu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!
Ni unganishe nao niende aseeUkraine inahitaji wapiganaji wa kujitolea kutoka kote duniani.
Ajira hizo bwashee!
Kwenye makaratasi!Kumbe wewe ni dogo sana kwenye international politics. Toka enzi za cold war, Tanzania is, and has always been a non aligned state, hatufungamani na upande wowote.
P
Hawanywi mbege kule!Ni unganishe nao niende asee
Kumbe Putin ni mtu mzima haswaKumbuka rais wa sasa wa Urusi ameishi TZ
View attachment 2133564
Kichaa weweHawanywi mbege kule!
Umekosa cha kuuliza!Umekosa cha kuandika?
Nadhani posho imetoka jmosiUmekosa cha kuuliza!
Kama Mnyika!Kumbe Putin ni mtu mzima haswa
Mnyika wa 1986 bado kijana sn kibongo bongoKama Mnyika!
Hahahaaaa....... Niletee majina ya Bavicha!Nadhani posho imetoka jmosi
Kaa na akina mama wenzako akina Halima MdeeHahahaaaa....... Niletee majina ya Bavicha!
Mnyika ni mkubwa kuliko Polepole!Mnyika wa 1986 bado kijana sn kibongo bongo