johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Halima Mdee ndio chadema pekee aliye kwenye jeshi la akiba.Kaa na akina mama wenzako akina Halima Mdee
Wengine wote mliogopa kwenda JKT!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halima Mdee ndio chadema pekee aliye kwenye jeshi la akiba.Kaa na akina mama wenzako akina Halima Mdee
Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lisu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!
Nyerere alikuwa ni kibalaka wa Afrika wa kueneza ujamaa.Wakati wa Ujamaa.
Sidhani kama anakumbuka !! afu watanzania tunajitahidi sana kusambaza haka ka picha sijajua kwa mantiki ipi hasa.Kumbuka rais wa sasa wa Urusi ameishi TZ
View attachment 2133564
Kaa naye akushauri ni mdada mwenzakoHalima Mdee ndio chadema pekee aliye kwenye jeshi la akiba.
Wengine wote mliogopa kwenda JKT!
Nakumbuka Mandela alisahau viatu kwa mama mmoja huko Moshi!Sidhani kama anakumbuka !! afu watanzania tunajitahidi sana kusambaza haka ka picha sijajua kwa mantiki ipi hasa.
Anakumbuka na ndiyo maana anatajwa kwamba miongoni mwa lugha anazoziongea ni Kiswahili.Sidhani kama anakumbuka !! afu watanzania tunajitahidi sana kusambaza haka ka picha sijajua kwa mantiki ipi hasa.
Kwani Katiba ya Chama ilibadilishwa Bwashee!Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lissu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!
Sera za kijamaa ndio zimetufanya kuwa masikini was kutupwaTungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lissu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!
Nyerere wakati wa vita ya baridi, hakufungamana na upande wowote.
Mara nyingi huwa hunakitu kichwani mwako, unajiandikia tu lolote mradi ujaze takataka JF.Tungeambiwa sisi ni wajamaa hivyo ni lazima tuwaunge mkono wakomunisti hata kama ni kwa shingo upande.
Mambo yamebadilika sana kwa mfano Tundu Lissu ndio anaishi upande wa magharibi.
Maendeleo hayana vyama!