donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Ulikua unaweza nini au kipaji gani?
As for me wakuu,
Nilikua mtaalam sana wa mitego ya ndege. Kuanzia ule mtego wa mpira wa v, unagongelea vijiti vitTu kwenye ardhi inakua kama v hivi halafu katikati unawek pumba au mchele, ukiwa masta zaidi unawek waya kati then unavuta na kuweka kamba. Pia kulikua na mtego wa ungo, vitanzi na ulimbo. Jamaa wangu mmoja bae pia ni prominet member hapa jf yeye alikua ni mtaalam wa kusuka sambi aka chandimu. Yaan kitu kinadunda kama cha kununua, wapi eric kandimba mtaalm wa kusuka kona za magari ya matauri. Yaan mtatengeneza magari yenu vizuri ila lazima muende kwa erick akawasukie kona. I miss them days....
As for me wakuu,
Nilikua mtaalam sana wa mitego ya ndege. Kuanzia ule mtego wa mpira wa v, unagongelea vijiti vitTu kwenye ardhi inakua kama v hivi halafu katikati unawek pumba au mchele, ukiwa masta zaidi unawek waya kati then unavuta na kuweka kamba. Pia kulikua na mtego wa ungo, vitanzi na ulimbo. Jamaa wangu mmoja bae pia ni prominet member hapa jf yeye alikua ni mtaalam wa kusuka sambi aka chandimu. Yaan kitu kinadunda kama cha kununua, wapi eric kandimba mtaalm wa kusuka kona za magari ya matauri. Yaan mtatengeneza magari yenu vizuri ila lazima muende kwa erick akawasukie kona. I miss them days....