Enzi za utoto....

Enzi za utoto....

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Ulikua unaweza nini au kipaji gani?
As for me wakuu,
Nilikua mtaalam sana wa mitego ya ndege. Kuanzia ule mtego wa mpira wa v, unagongelea vijiti vitTu kwenye ardhi inakua kama v hivi halafu katikati unawek pumba au mchele, ukiwa masta zaidi unawek waya kati then unavuta na kuweka kamba. Pia kulikua na mtego wa ungo, vitanzi na ulimbo. Jamaa wangu mmoja bae pia ni prominet member hapa jf yeye alikua ni mtaalam wa kusuka sambi aka chandimu. Yaan kitu kinadunda kama cha kununua, wapi eric kandimba mtaalm wa kusuka kona za magari ya matauri. Yaan mtatengeneza magari yenu vizuri ila lazima muende kwa erick akawasukie kona. I miss them days....
 
Mi nilikuaga mtaalamu wa kukata viuno,yani tukianza nyimbo zetu za utoto mkataji mauno mkuu ni mimi.
Kuna ule wimbo unamalizikia na maneno ya "okota maganda,peleka uganda yamepanda bei sukuma waaaaa"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

I miss those moments
 
Hivi Mpira nao ni kipaji..? Kama yes,basi utotoni nilikuwa nasakata kambumbu na soka la utotoni halina cha namba gani uwanjani pumzi yako tu,nikiwa golini kama vile Oliver khan (mikono mia)hehee nani wakunifunga..?

Sarakasi nimecheza sana na kunyonga nyonga viungo vya mwili tulikuwa tunatafuta sehemu nzuri yenye majani mazuri kisha tunaanza kuruka huku watoto kibao wakipiga vigelegele na shangwe.

Huwa nikukumbuka enzi za utoto na matukio yake basi huwa nacheka sana.
 
Hivi Mpira nao ni kipaji..? Kama yes,basi utotoni nilikuwa nasakata kambumbu na soka la utotoni halina cha namba gani uwanjani pumzi yako tu,nikiwa golini kama vile Oliver khan (mikono mia)hehee nani wakunifunga..?

Sarakasi nimecheza sana na kunyonga nyonga viungo vya mwili tulikuwa tunatafuta sehemu nzuri yenye majani mazuri kisha tunaanza kuruka huku watoto kibao wakipiga vigelegele na shangwe.

Huwa nikukumbuka enzi za utoto na matukio yake basi huwa nacheka sana.
Sarakasi pia nimeruka,kujinyonga nyonga na kujikunja nimefanya sana....nashangaa siku izi nimekua na mwili mzito viungo havijikunji kunji kama zamani
 
Akuna michezo niipendayo zaidi ya kombolela na kibaba tu,.. hivyo vitu vilinifanya kujua Papuchi nikiwa Darasa LA 5 tu
 
Ulikua unaweza nini au kipaji gani?
As for me wakuu,
Nilikua mtaalam sana wa mitego ya ndege. Kuanzia ule mtego wa mpira wa v, unagongelea vijiti vitTu kwenye ardhi inakua kama v hivi halafu katikati unawek pumba au mchele, ukiwa masta zaidi unawek waya kati then unavuta na kuweka kamba. Pia kulikua na mtego wa ungo, vitanzi na ulimbo. Jamaa wangu mmoja bae pia ni prominet member hapa jf yeye alikua ni mtaalam wa kusuka sambi aka chandimu. Yaan kitu kinadunda kama cha kununua, wapi eric kandimba mtaalm wa kusuka kona za magari ya matauri. Yaan mtatengeneza magari yenu vizuri ila lazima muende kwa erick akawasukie kona. I miss them days....
Hahahaha....... bila kusahau baiskeli za miti
 
Ulikua unaweza nini au kipaji gani?
As for me wakuu,
Nilikua mtaalam sana wa mitego ya ndege. Kuanzia ule mtego wa mpira wa v, unagongelea vijiti vitTu kwenye ardhi inakua kama v hivi halafu katikati unawek pumba au mchele, ukiwa masta zaidi unawek waya kati then unavuta na kuweka kamba. Pia kulikua na mtego wa ungo, vitanzi na ulimbo. Jamaa wangu mmoja bae pia ni prominet member hapa jf yeye alikua ni mtaalam wa kusuka sambi aka chandimu. Yaan kitu kinadunda kama cha kununua, wapi eric kandimba mtaalm wa kusuka kona za magari ya matauri. Yaan mtatengeneza magari yenu vizuri ila lazima muende kwa erick akawasukie kona. I miss them days....
Juzi tu kuna mahali nilikuwa kuna dogo akawa anarekebisha mtego wake.....
 
Back
Top Bottom