Enzi za utoto....

Mi niko poa tu mkuu

Shida ni kwenye gemu la nyoka mkuu, maana hizo nokia sio za kitambo sana!!
Kikubwa uzima mkuu, kama upo poa mimi nashukuru [emoji23]....

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mkuu kwa saraksi japo saivi ni mtu mzima ila hizi beki, kavu za mbele na za nyuma ni kama kawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…