bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,796
Mwanaume gani halisi anasema "akha"?
unashangaa akha mbona kawaida dada mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume gani halisi anasema "akha"?
unashangaa akha mbona kawaida dada mkubwa.
Nashangaa ndiyo. Ni lugha ya kike hiyo. Wewe ni mwanaume kama binti.
sikia kuna watu ambao ni wanaume kama mabinti wapo pale flavour unit siyo mimi mkuu alafu tuache porojo tuangalie jinsi ya kuwasaidia wasanii wa kibongo kifikra na kimawazo waondokane na hali kama hii ya kufa maskini.
Wewe anza na kuangalia ni jinsi gani utakoma kuwa mwanaume kama binti kwanza kabla hujafikiria kuwasaidia wengine. Sawa?
ngwair walimpa gari ambayo haina spare bongo. yaani ikiharibika unaagizia nje ya nchi. Kwanza gari lenyewe lilikua bovu. kuna siku alikua kwenye mataa ya karume, taa zilivyo ruhusu akaondoka lakini gari ilikua ikitembea upande upande yeye akajua pancha, ikabidi aipeleke pale kituo cha mafuta kuiacha coz haikua na spare tyre. ile anamkabidhi mlinzi, mlinzi akamwambia he! mbona haina tyre moja? kumbe tyre ilibaki mataa. na aliporudi akakuta wahuni washaondoka nayo. mia
Hiyo TZ Flava Unit Nyani Ngabu anaiendesha kwa remote from US?
Umenichekesha sana, unajua wakati wenzio wanajadili vitu siriazi punguza matani aiseeee maana nimepoteza flow kwakucheka hahahahahaaaa BUKU!!!!!
kwani hujasikia kwamba ruge ana uraia wa marekani? mia
sikia kuna watu ambao ni wanaume kama mabinti wapo pale flavour unit siyo mimi mkuu alafu tuache porojo tuangalie jinsi ya kuwasaidia wasanii wa kibongo kifikra na kimawazo waondokane na hali kama hii ya kufa maskini.
wewe nani unamponda p funk? kibao wamepitia mkono wa majani na wanamheshimu. mfano;
rough niggaz, BANTU POUND(niggerz pure,kassie, soggy doggy), AFRO REIGN(nature p,dray,j.d),BOOMBASTIC(ally na hamdani),bagsy malone, contish(abdul na hakim), cool james rip, DE PLOW MATZ(dolla soul,saigon,stigo,trip dogg), solo emcee, E-attack, Ebony moalim, FIVE TOILERS(brathe1,mr white,cholo B,mc S,Big H, FLEVA DOZ wakina izzack dog, HARDCORE UNIT, FOLZ SKOOL,Gangwe mob, gangster with matatizo(GWM).
cc miss strong. mia