Enzi zako zimekwisha P FUNK pole sana

Status
Not open for further replies.
Nashangaa ndiyo. Ni lugha ya kike hiyo. Wewe ni mwanaume kama binti.

sikia kuna watu ambao ni wanaume kama mabinti wapo pale flavour unit siyo mimi mkuu alafu tuache porojo tuangalie jinsi ya kuwasaidia wasanii wa kibongo kifikra na kimawazo waondokane na hali kama hii ya kufa maskini.
 
sikia kuna watu ambao ni wanaume kama mabinti wapo pale flavour unit siyo mimi mkuu alafu tuache porojo tuangalie jinsi ya kuwasaidia wasanii wa kibongo kifikra na kimawazo waondokane na hali kama hii ya kufa maskini.

Wewe anza na kuangalia ni jinsi gani utakoma kuwa mwanaume kama binti kwanza kabla hujafikiria kuwasaidia wengine. Sawa?
 
Wewe anza na kuangalia ni jinsi gani utakoma kuwa mwanaume kama binti kwanza kabla hujafikiria kuwasaidia wengine. Sawa?

we si unamimba ya rugay tena miezi tisa alafu bado kusaga anakusagaji unategemea huyu mtoto utamzaa kikameruni?
 

Umenichekesha sana, unajua wakati wenzio wanajadili vitu siriazi punguza matani aiseeee maana nimepoteza flow kwakucheka hahahahahaaaa BUKU!!!!!
 
Umenichekesha sana, unajua wakati wenzio wanajadili vitu siriazi punguza matani aiseeee maana nimepoteza flow kwakucheka hahahahahaaaa BUKU!!!!!

mkuu umecheka lakini ndo ukweli wenyewe na gari aliwarudishia. unajua ile album alipewa mil 3 na ile gari. tulikua tunajazania humo ndani 20 kidogo wakati wa kutoka disco. lakini tulikua tunatembea roho tumeshikilia mkononi. hahahaaaaa...!!!. mia
 
kwani hujasikia kwamba ruge ana uraia wa marekani? mia

Sidhani kama mpaka sasa hajaukana uraia wa US maana hayo mabeef aliyonayo wangeshakomaa nae longtime!
Otherwise chini ya MaCCM kila kitu kinawezekana kimjini mjini!
 
sikia kuna watu ambao ni wanaume kama mabinti wapo pale flavour unit siyo mimi mkuu alafu tuache porojo tuangalie jinsi ya kuwasaidia wasanii wa kibongo kifikra na kimawazo waondokane na hali kama hii ya kufa maskini.

mkuu msamehe Nyani Ngabu. unajua huyu alishawahi kuwa mshindi wa man of the year hapa jf, kipindi hicho alikua na heshima pamoja na kauli nzuri kwa wadogo zake, lakini sasa hivi kaharibika akili, atakua kashaoa so hasira za ndoa analeta jf. hahaaaaa..!!. mia
 
Last edited by a moderator:

Hiyo yote ni joto hasira tu.......Mia!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…