The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mwingine atakae kua na majibu ya Ntuzu ni everlenk
100% trueWeraaaaaa!
Muda wao usha isha acheni na vijana wapokee kijiti sasa.
Ni sawa na kumkumbuka Ally Choki kwenye kipindi cha Christian Bella
ha hahaha the list is Back[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TumekujaWakija msisahau kuniita
ha haha haDu! Nimecheka kwa kweli.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Keki zipo mamiiWeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaa wako wapi wale wa enzi zile za LEO TUPO HAPA PUB
wako wapi wale wa mastori mastori ya kutisha kama ya Mshanajr, Mentor (huyu kapotea mazima sijui ndo ka............) Mtambuzi , KakaKiiza
wako wale washadadiaji kwenye mauzi ya siasa, kama Katavi,
wako wapi wale wakiona kitu basi mlango wa saba utatambua kuwa wako hahahahhahaaaaaaaa
(siwataji wasijenifunga lokapu bure hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wako wapi wale wanaokoment masaaa 24/7 akina miss chagga, Arushaone, PakaJimmy Lady doctor, charminglady, valentine, Heaven on Earth, MTAFITI, mwallu, Kipaji Halisi , figganigga
Wako wapi waanzisha nyuzi waliobobea yaani wakongwe sana hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
siwataji wataniweka kwenye kikaango cha baba mwamba haaaaaaaaaaaaaaa
Wasalaam
Ladyf
Uwiiiiiii The list huyoooo hureeeeeeeeeee,,nilikumiss kufwa bora umerudii uturekebishe tabia tumejisahau tenaMama wa Sabrina hakika wewe ni mtu makini sana kwenye hili jukwaa.
Unameremeta mithili ya futari ya magimbi..mimi nakukubali sana mtu wa nguvu.
Na kwa sababu hiyo ikitokea empty set yoyote humu ikakukorofisha..fanya kuni-tag, na mimi bila kupepesa na kwa ile staili yangu adimu ya TII KIU YAKO nitaicheketua empty set iyo mpaka itubu.
Ubarikiwe mpaka ushange mama wa sabrina.
Bado wapo kwenye foleni.Kwakweli..tunasubiri waje
hahahahaa wewe ume mrithi nani?Muoneee
Mbona tupo tunawalea, tena tunawamudu kuliko kizazo kipya washika pembe na kula kwa macho!Sasa hao wazee hapo uwakutanishe na kikosi cha kina shunie kweli??
Hawatoki salama,hawa watoto wa siku hizi kama wana mashine mkononi wanavyoandika