Lake Sekondari MwanzaTunakumbushana tu, ndivo ilivokuwa.
Shule private maarufu enzi zetu kulikuwa Jitegemee, Vituka na sait Antony Mbagala
huku tarime kulikuwa na Shirati sec school.
Je wewe unakumbuka lipi? Gen Z mtupishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lake Sekondari MwanzaTunakumbushana tu, ndivo ilivokuwa.
Shule private maarufu enzi zetu kulikuwa Jitegemee, Vituka na sait Antony Mbagala
huku tarime kulikuwa na Shirati sec school.
Je wewe unakumbuka lipi? Gen Z mtupishe.
Shida sio kuajiri unawalipa nini Ili nawao wafurahie maisha!Enzi zile shule za serikali ziliheshimika sana,
Ningekuwa waziri wa Elimu kwa sasa, ningefanya mapinduzi kama yale ya Viwanda kwenye historia yaliyofanyika 1760 - 1840 kwa kuajiri waalimu wa Hesabu na Sayansi tu kwa shule za msingi na Sekondary.
Kwa kufanya hivyo naamini Ndani ya miaka mitano ungeshangazwa na matokeo.........heshima ingerudi......
Yaaniil ikuwa ukionekana unasoma private wewe hukufaulu.Tunakumbushana tu, ndivo ilivokuwa.
Shule private maarufu enzi zetu kulikuwa Jitegemee, Vituka na sait Antony Mbagala
huku tarime kulikuwa na Shirati sec school.
Je wewe unakumbuka lipi? Gen Z mtupishe.