Wamefanya kama mazingaombwe alafu tutaambiwa wameachiwa kutokana na kukosekana kwa ushahidi n.k. !
hivi haiwezekani jf iwe na wakili wa kuwatetea hawa mafisadi lakini kwa maslahi yetu kuwa aweze ku spin kesi ili wafungwe kitakatifu, yaani wakili wa kuwauwa akina patel! wataalam wa sheria tusaidieni hapo, ile inaitwa kuuwa wakati unatibu mwenyewe!
All people are equal before the lawJeetu? No way, the chap is too big to be taken to a Tanzania court of law.😱
YES! hii habari kubwa sana...Kwa wanaomfahamu Jeetu nadhani mtakubaliana nami kwamba sasa Kikwete kaamua kufanya mambo!..
Kwanza fedha kisha kusanya, halafu imefuatia mahakama na kesho nasikia kundi jingine linavutwa ndani!.. Jamani sii haya ndio tulikuwa tunayaomba JF toka kitambo!
Wangechukuliwa mahakamani mwanzo tusingepata hata ndululu...Sii haba jamani sii haba hata kidogo.
Mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Kuwakamata haina shida....
Kuviita vyombo vya habari na kutoa statement kuwa wamewakamata haina shida...
Kuonekana kwenye viunga vya mahakama wakiwa na nyuso za huzuni haina shida pia.....
kusema wamenyimwa dhamana nako hakuna shida.......
Kunza kesi na kusomewa mashataka hakuna shida........
Kikwete kupongezwa na watu wasiofikiri mbali nalo halina shida.....
Jumuiya za kimataifa kumsifia Kikwete kuwa anafanya kazi vizuri hakuna shida pia,,,,,,,
Luwa watahukumiwa kwenda jela, ilo nalo halina shida....
kuwa wataenda jele gani, watakaa vipi , hili nalo lina shida na maswali yake!
Tatizo ni pale wanaposhindwa kujibu maswali yetu.
1. Kuwa kulikuwa na wahusika wangapi katika wizi huu?
2. Wahusika hao ni akina nani?
3.Kwa nini majina yao yalifichwa?
4.Kuwa CCM na serikali yake kwanini wamechukua muda mrefu kulishugulikia swala hili:
5.Kuwa wezi hao wana nguvu kuliko serikali kama alivyokwisha wahi kusema Pinda?
6.kuwa watu wanaoichangia CCM , CCM inawajua au mtu yeyote yule hata kama anauza ngozi za watu? wanachukua tu pesa?
siamini bado swala zima hili, mpaka hap nitakapomwona jeetu patel, kwe
waberoya
Kuna mtu anamjua huyu DADA?
nauliza tuuu si ugomvi
Huyo mwanamke anaitwa EDA ni mtu wa mambo ya urembo.Kuna mwanamke analalamika kuwa huyo dada ni kibaka mzoefu wa kutupwa kwani alimpora huyo mume Mwakale ambaye wanashistakiwa wote kwa kuiba hela za EPA.Alimpora huyo mume na kumfanya mumewe halafu wakaenda kushirikiana kupora hela za EPA.Sasa wote wako kizimbani.
Tunadanganywa tu. Mbona wakina RA waliyorudisha hela hawakamatwi!! Basi wezi wawe wanaiba hela nyingi ili wasishitakiwe.
Mkuu Halisi asante kutuhabarisha, pamoja na usanii hili la kuwafikisha mahakamani ni hutua kubwa sana kwa serikali ya Muungwana, wengi hatukutegemea
Ushi
jk sasa ameonyesha anaweza. Kwa kuwa wengi tumeshamhukumu siku nyingi kwamba hawezi, inatuwia vigumu kubadili misimamo hiyo dhaifu.
Je ni kweli huyu Eda anahuhusiano na Rita Mlaki?? mtueleze jamani...