Sober
JF-Expert Member
- Jun 6, 2008
- 289
- 52
Macho yote kwa Feleshi sasa...
Huyu ndo wa kumtolea macho ili asituuze watanzania kwa sababu za kiufundi(most likely scenario according to MKJJ).
Maana niliwahi kusoma sehemu(hapahapa JF) wakati jamaa alipoteuliwa, kuwa ana hulka ya ufisadi na kuuza kesi, kama alivyowahi kufanya alipokua kanda ya ziwa na kesi ya mtoto wa mwarabu tajiri(refer thread ya Feleshi's appointment as New DPP)...
Tuwe nae macho huyu mtu hatari lakini anamamlaka makubwa sana. Kama vipi tumpigie makelele mpaka ang'oke pale akileta usanii wake kwenye hili.
Huyu ndo wa kumtolea macho ili asituuze watanzania kwa sababu za kiufundi(most likely scenario according to MKJJ).
Maana niliwahi kusoma sehemu(hapahapa JF) wakati jamaa alipoteuliwa, kuwa ana hulka ya ufisadi na kuuza kesi, kama alivyowahi kufanya alipokua kanda ya ziwa na kesi ya mtoto wa mwarabu tajiri(refer thread ya Feleshi's appointment as New DPP)...
Tuwe nae macho huyu mtu hatari lakini anamamlaka makubwa sana. Kama vipi tumpigie makelele mpaka ang'oke pale akileta usanii wake kwenye hili.