Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Nashukuru kwa marekebisho.
Baada ya kukwapua hizo hela walifanya nini? wamefungua viwanda wakaajiri? etc...
NAAMINI Leo wamo miongoni mwa hawa hapa:
Money Planners & Consultants inayomilikiwa na Paul Nyingo na Fundi Kitungi na kampuni ya Njake Hotel & Tours Limited inayomilikiwa Japhet Lema, Anna Lema, Abel Lema, Derick Lema na Benard Lema wa Arusha.
G&T International Limited, ya Octavio Timoth na Beredy Malegesi.
Excellent Service Limited inayomilikiwa na Emil Samanya, Peter Sabas na Elisifa Ngowi. Clyton Marketing ya Ngowi na Edwin Mtoi.
Rajabu Maranda na Thabit Katunda wanatajwa kumiliki kampuni ya Liqiud Service Limited .
Mibale Farm ya Kizza Selemani na Farijala Hussein na Malegesi Law Chambers inayomilikiwa na Beredy Malegesi.
Wamiliki wengine ni Paul Nyingo na Fundi Kitungi, wanaomiliki Kampuni ya Money Planners & Consultants na Kiloloma & Bros Enterprises inayomilikiwa na Charies Kissa.