Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweza kwepa kwenda kisutu, Je wanaweza kukwepa mshale wangu wa sumu ya kimakonde?
Dawa ya mijitu kama hii ni kuimaliza kimya kimya kwa kujipenyeza kwenye udhaifu wao.
Ndugu, wezi hawa hawana direct impact kwetu kama ambavyo, mwizi aliyekuibia kuku banda la uwani. ingelikuwa hivyo walahi hawa watu wangechomwa moto kama wezi wa kuku mataani!
Mahakimu wahofu usalama kesi za EPA
Shadrack Sagati
Daily News; Friday,November 14, 2008 @21:15
Mahakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ambako kesi za ufisadi katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinasikilizwa, wamehofia usalama wao; hali iliyowalazimu kuomba kupatiwa ulinzi wa polisi.
size]
THISDAY findings suggest that two prominent business tycoons linked to Kagoda Agriculture Limited, who are considered the main architects of the EPA scandal, will not face criminal charges despite stealing more than 40bn/- from the key BoT account.
Officials in close contact with the EPA investigation describe the prominent businessmen as ''The Untouchables'' behind the massive scandal.
''These two businessmen are well connected and will be protected from prosecution at all costs,'' a well-placed source told THISDAY.
au sijui watu tu wanaanzisha gazeti halafu wanaajiri watoto wa shangazi wawe waandishi ?
Nataka kusikia kauri moja tu.
Kagoda Agri Co yafikishwa mahakamani.
Bila Kampuni zote kufikishwa Mahakamani ikiwemo Kagoda Kesi ya EPA bado haijaanza.
CCM Msilete Maskhara kwenye hii issue ya EPA, sivyo mtakwenda ishi huko huko mliko weka hivyo vijisenti vyenu.
Kagoda nasikia haina mwenyewe, itafikishwaje mahakamani?
?????????????????????????? Silewi unaelekea wapi? Uko ndani ya mada ama?
Nakumbuka kuna msemo "not only justice should done, but should also deemed to be done" or something like that, na mwingine ni "justice delay is justice denial" sasa kwa suala la EPA vitu hivyo vipo? au mwenendo wa case unaonyesha kuwepo kwa vitu hivyo?
Asante kwa marekebisho hayo, sasa je hilo jambo au hayo mambo unalionaje/unayaonaje kwenye kesi ya EPA.Justice should not only be done, but should manifestly and undoubtedly be seen to be done.
Justice delayed is justice denied.
Asante kwa marekebisho hayo, sasa je hilo jambo au hayo mambo unalionaje/unayaonaje kwenye kesi ya EPA.