Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
YEH MAN! You have received GIFT from GOD! Clouds walikuponda na sasa wana-aibika! Na yawezekana Management ya Clouds haijaona tatizo la watangazaji wake kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na hasa KIBONDE ambaye masikini anajifanya kujua kila kitu kumbe ni mbumbumbu! Clouds walianza vizuri na sasa KIBONDE anatumia vibaya kipindi cha JAHAZI ku-Criticise watu kwa interest zake! Kupewa vitenda vya U-MC vinamtia kiburi! That is unprofessional skills! May be ni shoga?!!!
YEH MAN! You have received GIFT from GOD! Clouds walikuponda na sasa wana-aibika! Na yawezekana Management ya Clouds haijaona tatizo la watangazaji wake kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na hasa KIBONDE ambaye masikini anajifanya kujua kila kitu kumbe ni mbumbumbu! Clouds walianza vizuri na sasa KIBONDE anatumia vibaya kipindi cha JAHAZI ku-Criticise watu kwa interest zake! Kupewa vitenda vya U-MC vinamtia kiburi! That is unprofessional skills! May be ni shoga?!!!
huyu jamaaa anajikuta mjuaji sana..sio mm tu au wewe ana boa watu wengi...mm simkubali kabisa,anajikuta jiji la dar na tanzania yote ni yeye ndio anajua kusema! kualikwa kwenye bday ya mh.Rais ndio imekuwa tiketi ya kujialalishia kwamba hakuna anayejua zaidi yake
jamaaa ata mm nawasiwasi nae kama yuko sawa kweli...
kibonde unazingua SUGU ni mh. MBUGE sasa...wewe ni nani ?
SHAME ON U KIBONDE...:tape::tape::tape::tape::tape: