YEH MAN! You have received GIFT from GOD! Clouds walikuponda na sasa wana-aibika! Na yawezekana Management ya Clouds haijaona tatizo la watangazaji wake kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na hasa KIBONDE ambaye masikini anajifanya kujua kila kitu kumbe ni mbumbumbu! Clouds walianza vizuri na sasa KIBONDE anatumia vibaya kipindi cha JAHAZI ku-Criticise watu kwa interest zake! Kupewa vitenda vya U-MC vinamtia kiburi! That is unprofessional skills! May be ni shoga?!!!
Akitandikwa humu ndani atalia huyu bwana, maana ana kautapeli fulani ktk u mc wenyewe. Watu wanammezea mate ya akili na wanamsubiria avamie chaka rasmi wamtoe mbio
heee kwa hiyo kibonde anaweza kua shosti sio??
KIBONDE ALIKUWA MTANGAZAJI MZURI ZAMANI, LAKINI ALIPOINGIA KWENYE JAHAZI AMEHARIBIKA KWELI KWELI MAANA SIO TU KUWAPONDA WAPINZANI TU, YAANI HATA WAFANYAKAZI WALIPOKUWA WANADAI HAKI ZAO ALINIBOA SIKU ILE NILITAMANI NIIVUNJE RADIO KWA HASIRA. CAPTAIN ALIFANYA VIZURI KUMWEKA KWENYE JAHAZI KWA AJILI YA KUCHAMBUA MICHEZO LAKINI AMEVUKA MIPAKA HADI SIASA. ANAMWARIBIA KIPINDI MWENZAKE. TUACHE HAYO TURUDI KWENYE UCHAGUZI. MR 2 NINAUHAKIKA KILIO CHAKE CHA KUDHULUMIWA HAKI ZA WASANII SASA MUNGU AMEKIJIBU OLE WAO MAFISADI WA BONGO FLAVA:nono:
YEH MAN! You have received GIFT from GOD! Clouds walikuponda na sasa wana-aibika! Na yawezekana Management ya Clouds haijaona tatizo la watangazaji wake kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na hasa KIBONDE ambaye masikini anajifanya kujua kila kitu kumbe ni mbumbumbu! Clouds walianza vizuri na sasa KIBONDE anatumia vibaya kipindi cha JAHAZI ku-Criticise watu kwa interest zake! Kupewa vitenda vya U-MC vinamtia kiburi! That is unprofessional skills! May be ni shoga?!!!
kibonde ni **** tu na kibaraka anajipendekeza sana kwa JK hadi aibu yeye kazi yake ni kuponda tu elimu yenyewe hana alafu anajifanya anajua kila jambo, huwa tunakunywa naye bia pale London pub external jamaa ni mbahili kinoma ukimnunulia bia lazima akimbie meza na anakunywa castle lite kwa kutoka kwenye chupa ili isiishe haraka. Shame on you Kibonde ujirekebishe na Asalaaaaaam aleyeiky yako. StupidKweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?