Ephraim Kibonde Jahazi Show


Hakuna mtu aliyemzuia Kibonde kutoa maoni yake, tutamzuiaje na yeye ana redio sie hata hapa tunatoa maoni kwa hisani za watu?

Kama yeye alivyo na uhuru wa kutoa maoni, na sie tuna uhuru huo huo. Sasa hapo ndipo mashindano ya ideas yanapokuja.

Yeye kamtetea Membe na upupu wake, sisi tunamueleza jinsi alivyochemka yeye Kibonde na Membe wake.

Ndiyo maana ya forum. Mawazo kuruhusiwa kugongana.
 
Kibonde hana Lolote, he is just lining up kwa Nape Nnauye
 
huu ushabiki usio na faida kwa Taifa linalo didimia hautakiwi kuachwa hivi kama wana JF tunatakiwa tuukemee na kuugopa kama ukoma!

Naomba kujua CV ya Gadner na Kibonde ili tujue tuanzie wapi katika kupangua matumizi yao mabaya katika Radio kupotosha!

Leteni CV zao humu! Halaaa this can not be tolerated haswa ukiangalia ni uhusiano gani Clouds FM inao na Vijana !
 
That's where we differ, Kibonde amefanya tutamani kusikiliza kile kipindi

He is good
 

Kuna mahala nimesema kuna mtu amemzuia Kibonde?Mbona ume-cherry pick hiyo opening statement pekee yangu badala ya mjumuisho wa chote nilichoongelea.
 
mumesahau kitu kimoja ana mpango wa kugombea ubunge jimbo moja la mkoani Mbeya mwaka 2010

Please Shy you can do better than this!!! lini alikwambia anataka kugombea? You sio lazima uibe ndio uitwe mwizi!! You know what i mean...
 
Well, we definately don't have any A-lister in Bongo, so he (she?!) must be either a C-list, F-list or Z-list celebrity........or probably just a poor shiterati (D-lister).
 
- Mkulu Kibonde, bravo kwa kuitangaza JF mbele ya jamii, as a JF member I humbled, juzi ilikuwa Kulikoni/This Day, leo Clouds, guess what kesho itakuwa Rais wa jamhuri, JF mbele tunazidi kunga'ara na kukubalika mbele ya jamii kwamba inapokuja kwenye masilahi ya taifa we know better than all,

- Mkuu Kibonde, ubarikiwe sana na ninakupa promise, mimi kesho asubuhi sana nitaongea na mabossi wako ambao ninawafahamu kwa karibu sana yaani Joe na Ruge, nitaweka a word of respect kwao for you na pia ningekuomba sana ujaribu kuelimisha na wanahabari wengine ulio karibu nao kuhusu your JF experience,

- Ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni, na JF idumu zaidi!

Respect.


Field Marshall Es!
 
Naomba kujua CV ya Gadner na Kibonde ili tujue tuanzie wapi katika kupangua matumizi yao mabaya katika Radio kupotosha!

Leteni CV zao humu! Halaaa this can not be tolerated haswa ukiangalia ni uhusiano gani Clouds FM inao na Vijana !
Gezaulole, utangazaji ni kipaji kama wanamuziki, hii habari ya kutafuta CV, has nothing to do na kipaji hicho ingawa ni added advantage, naomba tusianze kuwahukumu watangazaji wetu kwa cv, its delivarence that matters, sio paperwork, wako watangazaji wasomi wenye masters degree za Lenigard University waliajiriwa TVT they delivered nothing huku ma form four leavers pale RTD wakifanya kazi nzuri tuu.
 
Habari nilizozipata punde..

Mtangazaji wa clouds Fm Ephraim Kibonde ameitumia salamu Jamii Forums, home of great thinkers na ameshukuru na kuheshimu michango yake..

Wewe ndio kibonde nini?
 
hakuna lolote la maana kutoka kwake ..mwambie tunashukuru kwa salaam afanye kazi yake kwa ufasaha na aache chokochoko
Na umuulize yeye Siasa anaiweza??????????

NB: kwa nini akutume wewe na asije yeye hapa anaogopa ? au wewe ndio yeye na yeye ndio wewe

 
aahaaaaa,
kun wakti anakera sana huyu
 
Kila mtu anasoma jamii.....iko juu sana.....inatanua vichwa na kisima cha wazalendo...na wanamapinduzi
 
Habari nilizozipata punde..

Mtangazaji wa clouds Fm Ephraim Kibonde ameitumia salamu Jamii Forums, home of great thinkers na ameshukuru na kuheshimu michango yake..
Kibonde GO AHEAD, ENDELEA KUSHAINI........... Maana mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe................... Humu JF kuna msemo unaosema MKONO MTUPU HAULAMBWI.................. Mkono wako si mtupu, ndiyo maana unatajwa sana........................... WHO THE HELL IS KIBONDE........... ANAGOMBEA UBUNGE................ HAJUI KUTANGAZA................. ANAROPOKA............... CV............. BIBLIOGRAPHY ..................etc
Remember, one day someone in this JF said ............. THE ONE WHO HATES YOU MOST........... LOVES YOU MOST
 
Kwa hiyo hata majambazi, wauza unga, vibaka waendelee tu kwa sababu jamiii inawatajataja? kazi kwelikweli!!
 
Jamani acheni uongo. Kibonde sio member humu na wala sio guest wa kila siku. Jana alinihaidi kuja humu na kusoma mliyoandika juu yake. Sijui kama alikuja au la maana hakunipa feedback

Ni jambo zuri kama ameamua kuipa JF sifa inayostahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…