Tuipendeinchiyetu
Member
- Feb 18, 2007
- 27
- 6
kwa kweli Tanzania tuna kazi kubwa sana hasa kwenye swala la utawala bora. kila kitu kinachofanyika tz ni politics tuu.
Kwani TUKUKURU inatakiwa ichunguze wakati gani?
Tunajua hilo?
nilishasema Hapo Awali........kwa Ceo Mrema Kuwepo Pale Tumekwisha, Ulizeni Kwanini Alifukuzwa Kazi Toka Ktk Miradi Iliyo Chini Ya Ofisi Ya Waziri Mkuu, Ulizieni Uhusiano Wake Na Wizara Ya Ujenzi Ulivyokuwa Wakati Alipokuwa Konoike.................no Wonder Ameyafanya Hayo Aliyoyafanya Pale Tanroads................ulizeni Pia Kule Zanzibar Aliondokaje Ondokaje................pia Sitashangaa Kuwa Hiyo Nafasi Aliipata Kwa Mgongo Wa Lowassa + Chenge!!
....in Short Huyu Mrema Ni Hafai
Sikonge,
..i will grant you the benefit of doubt ktk haya masuala ya ukabila.
..i will also speculate kwamba ulihemewa tu ulipotoa mfano kwamba Mramba[mchaga] na bajeti ya barabara ni moja ya dhuluma za serikali dhidi ya mikoa ya pembezoni.
..naomba pia nikuelimishe kwamba mradi wa barabara jimboni kwa Mramba ulianza wakati wa John Magufuli. pia mradi ule ulipewa pesa zaidi wakati wa Mramba kwasababu ulikuwa ktk advanced stage ya ujenzi. Mbunge aliyelalamika mradi wake ulikuwa ama ktk design stage au feasibility study, ndiyo maana ukapewa fedha kidogo.
..nilitegemea baada ya posting yangu ungejielimisha zaidi kuhusu miradi hiyo miwili, na pia ungeomba radhi kwa kauli yako.
..nasubiri kwa hamu kuona kama Mbunge Selelii, na wenzake, atamkaba koo Waziri wa sasa miuondo mbinu Dr.Kawambwa, kama alivyofanya kwa Mramba mwaka jana.
..Basil Mramba ana kashfa[kuchapisha noti chafu na kampuni ya kijerumani, misamaha ya kodi...] nyingi tu kama mwanasiasa, lakini hili la kusema amedhulumu barabara za jimboni kwa Lucas Selelii na wenzake, siyo kweli.
..tofauti uliyoitaja kuhusu Kilimanjaro,Mbeya,Arusha, kulinganisha na mikoa ya pembezoni ni suala kihistoria. ule msingi[elimu,miundo mbinu...] uliowekwa na wamisionari na wakoloni ndiyo unaowapa ahueni mikoa hiyo. vinginevyo nchi nzima imeathirika kutokana na uongozi mbaya wa Tanu na baadaye CCM.
..zaidi siamini kama Mchaga,Mhaya,Mnyakyusa ana akili zaidi, au ni mjanja zaidi, au ni mchapakazi zaidi, kuliko Muha, Mnyaturu, Makonde etc etc. tofauti za makabila hayo ni exposure tu.
..naamini kabisa kabisa kwamba Waha,Wanyaturu,...wangepewa historical opportunities walizopewa Wachaga,Wahaya,..basi leo hii Kigoma,Singida,Mtwara, ingekuwa inasifika kwa "maendeleo" na Kilimanjaro,Kagera,..ingekuwa ndiyo mikoa ya pembezoni.
..hakuna hata siku moja nchi nzima[makabila yote,mikoa yote]itakuwa ktk hatua moja ya maendeleo. siku zote kutakuwepo na maeneo yaliyopiga hatua zaidi kulinganisha na mengine. kitu cha kuzingatia ni kujaribu kuzielewa tofauti hizo, na zaidi eneo moja kujifunza toka eneo lingine. mara nyingine maendeleo hupatikana kwa kuiga.
..nashauri kabla ya kuwashutumu Msuya na Mramba, tuwabane kina Samwel Sitta,Rashidi Kawawa,Maokola Majogo,Ben Mkapa,Nalaila Kiula, Anna Abdalah, Jakaya Kikwete,Paul Kimiti,Chrisant Mzindakaya...wajieleze kwanini wameshindwa kuhimiza maendeleo ktk mikoa ya kusini na mingine ya pembezoni.
Ukiondoa la kupiga simu na kumtishia meneja wake amfukuze mtu kwa lazima,sina shaka na elimu yake.Anastahili kushika cheo hicho.
Mimi nadhani hizo ni siasa za maji machafu tu,watu wanamalizana kinamna.TUACHE MAJUNGU.
Tuache Majungu, Alikuwa Kwenye Mradi Wa World Bank/ida, Uraba Sector Rehabilitation Project, Matunda Yake Ni Ukarabati Mzuri Wa Urban Municpal Roads, In Mbeya, Iringa, Moshi, Nk Manispaa 8, Mradi Huo Ulisha Isha Na Mkataba Ukawa Umefika Mwisho, Hali Kadhalika Zanzibar Etc
Kama Ni Tuhuma Za Perormance Hazina Ukweli, Ila Kwa Hizo Za Rushwa Siwezi Kumtetea.
Tangu Awali Nimesisitiza Hapa Huyu Mtu Anapigwa Vita Kwa Sababu
Kuwa Ni Wa Kuja Pale Tanroads, Wengi Walidhani Wale Wazoefu Wa Pale Wangepata Ile Nafasi, Bahati Mbaya Haikuwa Vile, Yaliyobaki Ni Vita Badala Ya Kuchapa Kazi
Tuache Majungu, Alikuwa Kwenye Mradi Wa World Bank/ida, Uraba Sector Rehabilitation Project, Matunda Yake Ni Ukarabati Mzuri Wa Urban Municpal Roads, In Mbeya, Iringa, Moshi, Nk Manispaa 8, Mradi Huo Ulisha Isha Na Mkataba Ukawa Umefika Mwisho, Hali Kadhalika Zanzibar Etc
Kama Ni Tuhuma Za Perormance Hazina Ukweli, Ila Kwa Hizo Za Rushwa Siwezi Kumtetea.
Tangu Awali Nimesisitiza Hapa Huyu Mtu Anapigwa Vita Kwa Sababu
Kuwa Ni Wa Kuja Pale Tanroads, Wengi Walidhani Wale Wazoefu Wa Pale Wangepata Ile Nafasi, Bahati Mbaya Haikuwa Vile, Yaliyobaki Ni Vita Badala Ya Kuchapa Kazi
shaloom wandugu,
Hayo ya Kilaza Mrema yalishasemwa sana hapa, na jinsi alivyoifanya tanroads mali ya wachagga!
Kwakweli ana maamuzi ya kimangimangi hasa tena wakati mwingine ya kitoto!
Lakini hayo yote ni kwakuwa alipata hiyo chance kwa mgogo wa LOWASSA, akisaidiwa na CHENGE, bila kumsahau kakayake ambaye ni rafiki wa lowasa MREMA WA NGURUDOTO ARUSHA.
Kaanguka Lowassa, Chenge, Sasa zamu yake Mrema!
Here it comes out!
Tanroads ya wachaga? chadema pia? na tiaraei nako? mwana wakubali wachaga kiboko. Ukabila 2010 utakuwa moto, beware Tanzanians.
Tanroads ya wachaga? chadema pia? na tiaraei nako? mwanak wakubali wachaga kiboko. Ukabila 2010 utakuwa moto, beware Tanzanians.