..Wiliam Ngereja - waziri wa Miundombinu, what else???Ngereja?! Hivi naye anahusika na tanroads?! Au ni ngereja mwingine??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Wiliam Ngereja - waziri wa Miundombinu, what else???Ngereja?! Hivi naye anahusika na tanroads?! Au ni ngereja mwingine??
...Ngereja waziri ndugu!!!!
..Wiliam Ngereja - waziri wa Miundombinu, what else???
Aliweka hadharani viwango hivyo kuwa Mrema alipoanza kazi alipewa posho ya kuanza (Commencement allowance) dola za Marekani 9,000 kwa siku 60 (sawa na Sh milioni 10.8), mshahara wake kwa mwezi ni dola za Marekani 8,500 (Sh milioni 10.2), posho ya nyumba kwa mwezi ni dola 2,200 (Sh milioni 2.6), posho ya matibabu dola 400 kwa mwezi (Sh 480,000), posho ya usafiri dola 500 (Sh 600,000).
Pia analipwa pensheni kwa mwaka kiasi cha dola za Marekani 10,200 (Sh milioni 12.4), akienda likizo analipwa dola 3,000 (Sh milioni 3.6), bonasi yake kwa mwaka analipwa dola 102,000 (Sh milioni 122.4) na mwisho wa mkataba wake analipwa dola 10,000 (Sh milioni 12) kama malipo ya kumaliza kazi.
kuwa best students hakumpi sifa ya kulipwa hivyo jamani
Mrema amekuwa akitumiwa na World Bank kama Procurement specialist kwenye miradi yao. eg Barabara za Kijitonyama. Alishawahi kufanya kazi hapo zamani NEDCO. Alikuwa one of the best students nationally o level na a level.
Wakuu,
Hebu tuacha kumlaumu Mrema kwa kulipwa alikuta kimewekwa na Serikali, yeye hakujipangia hiyo package....aliikuta....inawezekana pia hiyo package ndiyo iliyomvumtia hadi akaomba hiyo kazi. Pia hakuna haja ya kuongelea uchagga wala upare (au labda watu waje na facts za ukabila). Pia, wahandisi kulipwa kidogo sio kosa la Mrema. Hivi ni wapi kuna terms kwamba afisa mtendaji mkuu wa TANROADS lazima awe mhandisi ujenzi?
Tuangalie jinsi alivyoingia (kama aliingia kifisadi) na pia kama kuna watu anawatendea sivyo (kama hili la mizani Kibaha)!
Binafsi napenda jinsi Mrema anavyoshughulikia wakandarasi wazembe, kama mtu amevuta kitu kidogo ni vigumu kuchukua hatua nachokua Mrema. Inatugharimu lakini inaleta nidhamu kwenye ujenzi wa miundo mbinu yetu.
Nashukuru, lakini inaonesha unamjua vyema huyu mrema wa tnroads. Hebu basi thibitisha utendaji wake unaousifia. Vinginevo utakuwa hueleweki.
Pia niliomba kama kuna mtu anafahamu vema njia yake kuingia TANROADS (kutoka sekta binafsi) amwage ili tuone kama kuna mizengwe (ama ufisadi) katika kuingia kwake TANROADS.
''Anger is a condition in which the tongue works faster than the mind''
Huyu Mbunge alikuwa na hasira kweli. Hata hivyo hajajiuliza anayepanga na kupitisha policy za hiyo Tanroads ni nani. Mishahara na maslahi ya shirika kama Tanroads sio specific kwa mtu bali kwa nafasi.Mrema alikuta haya tokea kwa mtangulizi wake.
Niliwahi kusikia siku za nyuma kuwa wafanyakazi wa Tanroads ndio the highly paid workers in Tanzania. mbunge angetuambia pia mishahara ya Tanroads iko vipi na sio kumchachamalia CEO kama vile yeye ndiyo Tanroads. Think about the role of the Board Of Directors Mr Mp and stop political bla blas.