nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,924
- 1,334
mASANJA MIMI NAAMINI KABISA ANAfanya biashara Haramu, na alipogundua kuwa itakuwa rahisi kugundulika haraka akatengeneza Blog yake akaweka vipicha vyenye utata kwa makusudi ili kuwafool watu kuwa yeye ni freemason, na alipoona haikusaidia akajiingiza katika Injili.
Anajinasibu kuwa anaghorofa tatu, ananyumba za kawaida nne moja ni ile ya kijijini kwao, ana magari ya kifahari kama matatu.
Mbona wenzake hawamiliki utajiri mkubwa wa kiwango hiko, mtazame Sekioni David, mtazame Joti hata mwarabu wa Dubai Mpoki....wanaishi maisha yasiyomkaribia
Anajinasibu kuwa anaghorofa tatu, ananyumba za kawaida nne moja ni ile ya kijijini kwao, ana magari ya kifahari kama matatu.
Mbona wenzake hawamiliki utajiri mkubwa wa kiwango hiko, mtazame Sekioni David, mtazame Joti hata mwarabu wa Dubai Mpoki....wanaishi maisha yasiyomkaribia