:disapointed::A S-frusty::confused3:mpaka masanja yumo mhh si mchungaji huyu siku hizi!!!!?????????????Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha zinaendelea kutoka na kuwekwa wazi huku bunge likivutana kuhusu sakata hlo.
Tetesi za kutoka ndani zinasema msanii wa muziki Naseeb Abdul au Diamond ambaye alijitapa wazi mbele ya kamera za habari kuwa anamiliki ukwasi zaidi ya bilioni moja kwenye akaunti yake, nyumba 5 za thamani Kijitonyama na Mikocheni na anatumia simu 6 za thamani ambazo zipo hewani muda wote tayari amenyang'anywa hati yake ya kusafiria na baadhi ya simu zake katika mwendelezo wa uchunguzi juu yake unaofanywa na vyombo vya dola.
Msanii pia wa maigizo Masanja Mkandamizaji ambaye anadaiwa kumiliki mkwanja mrefu na nyumba za thamani kubwa mpaka magari naye tayari ametajwa kuhusika na sembe.
Episode inaendelea,tuungane katka vita hii.
Hao ndio tunawataka.......hata wale waliofukuzwa kazi uwanjani......wameonewa sana.........aliyewapa amri ndio awajibishwe.........
Si walisema wajenzi huru mapesa yanakujaga tu yenyewe leo tena imekuwa mapowder!
Masanja si ni mlokole/ameokoka...
Ahaaaa eti wanasema unapewa 10,000 (elfu kumi tu) then ukianza kuitumia haiishi...Inazidi kujaa tu kwenye wallet....
Usikute na wale wachungaji uchwara wanalipwa na jamaa wa mapowder watupige sound za freemason...
Tushawashtukia hakuna cha freemasons wala Devil Kingdom ni MAPOWDER FULL STOP.
Kanumba alikuwa m-bakaji, alikuwa ana m-baka under 18 Lulu...
Msanii pia wa maigizo Masanja Mkandamizaji ambaye anadaiwa kumiliki mkwanja mrefu na nyumba za thamani kubwa mpaka magari naye tayari ametajwa kuhusika na sembe.
Episode inaendelea,tuungane katka vita hii.
Udaku special
soon naona wema sepetu naye anaingia kwenye hii episode wapi alipata mihela ile
Masanja Mkandamizaji ndani
uyo Lulu usiku wa Manane alifata nini chumban kwa Mwanaume? Alienda kuset nywele au kupaka Hina?