King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
soon naona wema sepetu naye anaingia kwenye hii episode wapi alipata mihela ile
Hii hbr mnaishadadia sn wkt ni udaku na umbea tu..... mbunge azan anajulikana vyema kwenye hii biashara. Kwa masanja na almasi naona watu wanawaonea wivu wa kike tu
Wasanii wanaochunguzwa ni watatu + WEMA SEPETU ,dada ana kufuru secretary wake anatumia macntosh wakati ceo wa kampuni nayofanya kazi anatumia hp dv7.
ulokole siku hizi ni mtindo wa maisha ambao mtu yeyote akiamua anaweza kujichagulia kuishi na sio iman tena.mlokole original ni mzee kulola (rip)Masanja si ni mlokole/ameokoka...
Masanja si ni mlokole/ameokoka...
kwani walokole hawawezi kubeba sembe? Tena makundi kama haya ndo hatari zaidi.
Hivi lile gazeti la TAZAMA TANZANIA linalo hubiri FREEMASONS kila siku linamilikiwa na nani?.Ahaaaa eti wanasema unapewa 10,000 (elfu kumi tu) then ukianza kuitumia haiishi...Inazidi kujaa tu kwenye wallet....
Usikute na wale wachungaji uchwara wanalipwa na jamaa wa mapowder watupige sound za freemason...
Tushawashtukia hakuna cha freemasons wala Devil Kingdom ni MAPOWDER FULL STOP.
Amka kijana....Masanja cha mtoto....kwani mama Lwakatare anafanyaje pamoja na unabii wake wa uongo?Masanja si ni mlokole/ameokoka...
Nadhani anamaanisha ndani ya kashfa.Jisumbue kuchanganua,heading usipoielewa basi si vibaya ukasoma habari nzima.Masanja yuko ndani kivipi?
mbona yuko zake fb saa hizi amepost habari ya majambazi kuiba benk Just 10 minutes ago?
Au unamaanisha ndani gani?
Hii hbr mnaishadadia sn wkt ni udaku na umbea tu..... mbunge azan anajulikana vyema kwenye hii biashara. Kwa masanja na almasi naona watu wanawaonea wivu wa kike tu