Episode ya Unga: Msanii Diamond apokonywa Passport, Masanja Mkandamizaji ndani

Episode ya Unga: Msanii Diamond apokonywa Passport, Masanja Mkandamizaji ndani

Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha zinaendelea kutoka na kuwekwa wazi huku bunge likivutana kuhusu sakata hlo.

Tetesi za kutoka ndani zinasema msanii wa muziki Naseeb Abdul au Diamond ambaye alijitapa wazi mbele ya kamera za habari kuwa anamiliki ukwasi zaidi ya bilioni moja kwenye akaunti yake, nyumba 5 za thamani Kijitonyama na Mikocheni na anatumia simu 6 za thamani ambazo zipo hewani muda wote tayari amenyang'anywa hati yake ya kusafiria na baadhi ya simu zake katika mwendelezo wa uchunguzi juu yake unaofanywa na vyombo vya dola.

Msanii pia wa maigizo Masanja Mkandamizaji ambaye anadaiwa kumiliki mkwanja mrefu na nyumba za thamani kubwa mpaka magari naye tayari ametajwa kuhusika na sembe.

Episode inaendelea,tuungane katka vita hii.

Masanja si amekuwa mlokole unga vipi tena?
 
1235050_461227907309312_1001732574_n.jpg
578451_461476697284433_127953808_n.jpg


hapo yupo kwenye moja ya shughuli ya uponyaji!!!!!

anafanya maigizo
 
alikuwa kwenye huduma ya bwana na kuombea watu kabisa..,

waumin wako busy na camera mweee

Sababu za umaskini tz ni nyingi sana mojawapo ni hii ya kupoteza muda kwa wasanii kama hawa badala ya kutumia muda huo kwa uzalishaji mali wajikomboe kiuchumi
 
Sababu za umaskini tz ni nyingi sana mojawapo ni hii ya kupoteza muda kwa wasanii kama hawa badala ya kutumia muda huo kwa uzalishaji mali wajikomboe kiuchumi

hiyo ya kwanza hadi giza limeshaingia,huo uzalishaji unaufanya saa ngapi.....

sijui lini tutafungua haya macho yetu na kuona mambo kwa jicho la 3
 
Mbona huulizi Mchungaji, Mheshimiwa, Daktari, Mtukufu, Nabii Mama Rwakatare.......? Haya madhehebu uchwara ndo kichaka cha kuficha wezi na wahuni wote..

Mkuu, huyo ni Muheshiwa sana ambaye hastahili kutajwa labda uwe na evidence. Hao madagaa ndio wanatajwa tu na kukamatwa mara moja.
 
Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha zinaendelea kutoka na kuwekwa wazi huku bunge likivutana kuhusu sakata hlo.

Tetesi za kutoka ndani zinasema msanii wa muziki Naseeb Abdul au Diamond ambaye alijitapa wazi mbele ya kamera za habari kuwa anamiliki ukwasi zaidi ya bilioni moja kwenye akaunti yake, nyumba 5 za thamani Kijitonyama na Mikocheni na anatumia simu 6 za thamani ambazo zipo hewani muda wote tayari amenyang'anywa hati yake ya kusafiria na baadhi ya simu zake katika mwendelezo wa uchunguzi juu yake unaofanywa na vyombo vya dola.

Msanii pia wa maigizo Masanja Mkandamizaji ambaye anadaiwa kumiliki mkwanja mrefu na nyumba za thamani kubwa mpaka magari naye tayari ametajwa kuhusika na sembe.

Episode inaendelea,tuungane katka vita hii.

bongo bana,kila mwenye mafanikio lazima awe muuza unga,mbona mtoto wa mfalme hatusikii amechunguzwa?bongo tabu tupu,ukiuza nyanya ukanunua ka vitz,watasema unga,uuze mihogo ununue carina utasikia unga mbona hatujasikia wa mjengoni wanachunguzwa?
 
Back
Top Bottom