Little John
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 215
- 66
bongo bana,kila mwenye mafanikio lazima awe muuza unga,mbona mtoto wa mfalme hatusikii amechunguzwa?bongo tabu tupu,ukiuza nyanya ukanunua ka vitz,watasema unga,uuze mihogo ununue carina utasikia unga mbona hatujasikia wa mjengoni wanachunguzwa?
Mmmmmmh!!! Inanisumbua kiasi kikubwa sana hiyo. But what I think ni kuwa mkweli tu. PENYE UKWELI UONGO UNAJITENGA. Lets see the next move.