Episode ya Unga: Msanii Diamond apokonywa Passport, Masanja Mkandamizaji ndani


Masanja si amekuwa mlokole unga vipi tena?
 
alikuwa kwenye huduma ya bwana na kuombea watu kabisa..,

waumin wako busy na camera mweee

Sababu za umaskini tz ni nyingi sana mojawapo ni hii ya kupoteza muda kwa wasanii kama hawa badala ya kutumia muda huo kwa uzalishaji mali wajikomboe kiuchumi
 
Sababu za umaskini tz ni nyingi sana mojawapo ni hii ya kupoteza muda kwa wasanii kama hawa badala ya kutumia muda huo kwa uzalishaji mali wajikomboe kiuchumi

hiyo ya kwanza hadi giza limeshaingia,huo uzalishaji unaufanya saa ngapi.....

sijui lini tutafungua haya macho yetu na kuona mambo kwa jicho la 3
 
Masanja si ni mlokole/ameokoka...

Mbona huulizi Mchungaji, Mheshimiwa, Daktari, Mtukufu, Nabii Mama Rwakatare.......? Haya madhehebu uchwara ndo kichaka cha kuficha wezi na wahuni wote..
 
Mbona huulizi Mchungaji, Mheshimiwa, Daktari, Mtukufu, Nabii Mama Rwakatare.......? Haya madhehebu uchwara ndo kichaka cha kuficha wezi na wahuni wote..

Mkuu, huyo ni Muheshiwa sana ambaye hastahili kutajwa labda uwe na evidence. Hao madagaa ndio wanatajwa tu na kukamatwa mara moja.
 

bongo bana,kila mwenye mafanikio lazima awe muuza unga,mbona mtoto wa mfalme hatusikii amechunguzwa?bongo tabu tupu,ukiuza nyanya ukanunua ka vitz,watasema unga,uuze mihogo ununue carina utasikia unga mbona hatujasikia wa mjengoni wanachunguzwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…