Daah kweli tanzania nchi ya umbea na uongo..niko karibu na diamond kama mfanyakaz wake mda mwing niko nae.toka alejee SA mda mwingi yuko alikuwa bize kwwnye maandaliz ya kuzindua video yake cjaona ukaribu wowote na ofisa usalama yeyote..
hiyo paspot kanyanganywa lini jamni?eti nn simu!!khaa!!simu zake zote anazo mpaka mida hii labda kama walimnyanganya wakampa zingne za kufanana.
na leo kafanya wema wa kumzawadia mzee gurumo gari mpya..semeni kingine
Tanzania bana....
Hapo sasa! Wanaume wazima hawa umbea mpaka wamejaza server, diamond, diamond, masanja masanja!
Hii nchi inaonekana ni ya mipasho zaidi, uarabu umesababisha hayo. Mtu yuko bize kibarazani na kwenye maskani na vijiwe kuutwa na simu kushabikia habari za uzushi.
Mnapotoshwa na vihabari vya kizushi muwe bize msahau kuihoji serikali mambo ya msingi, kama rasimu ya katiba mpya, endeleeni kulala usingizi, mkiwashabikia masanja na diamond ma vijumba vyao viwili.
Huku mafisadi wanakwapua matrilioni, na kuangamiza nchi.
Hojini nani anawatuma? Binti aliekamatwa SA hawezi kuwa na mtaji mkubwa vile wa karibia nusu bajeti ya wizara moja.
Pili nimewashangaa ninyi wana JF, kutukana na kukejeli imani za wengine hapa!
Nani hapa ana uhakika na uthibitisho imani yake ni sahihi?
Mi siioni hata moja
Wakatoliki mashoga, walawiti, walevi, wauzaji na wasafirishaji wakubwa madawa ya kulevya, tena ni viongozi hapo kuanzia Vatican mpaka huku wetu.
Waanglikana nao dah soo, ndoa za mashoga,
Walutheri wanabariki ufisadi, we kwapua fedha kokote hata za Richmond zipeleke watasafisha zitajenga makanisa
Walokole utapeli, madawa ya kulevya vimeshika kazi.
Waislamu dah, Ulawiti, ushoga, madawa ya kulevya, ukatili wa kuuana, msingi mkuu wa dini ni Mauaji, majibu ya matatizo yao ni kuua. Mungu wao anasema ueni, jitoeni muhanga, vaeni mabomu mkajiue stand, sokoni, mashuleni, makanisani, Mwendo ni kuua tu!
Freemason toeni kafara.
Sasa sioni wa kumnyooshea kidole Masanja mlokole au Diamond mjenga msikiti wakati ni wamo kwenye makundi hapo juu.
Acheni unafiki, jadilini mambo muhimu kwaajili ya nchi yetu.
Wivu, chuki binafsi, uzandiki, na ufinyu wa akili unazidi kuturudisha nyuma.