EPL: Arsenal sasa yaburuza mkia , yawa nafasi ya ishirini katika msimamo wa timu 20

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni vema ukafahamu jambo hili mapema ili usije ukapata matatizo ya kiafya, kwamba timu iliyokuwa inapigania ubingwa leo hii inaburuza mkia , hii ni baada ya game 3 tu.

Wachambuzi wanaitabiria kushuka daraja .
 
Iko nafasi ya 20 katika timu 20 !
 
Ila Mashabiki wa Arsenali waliopo UK ni matrackle kwanini wasifanye riot Kama Man U vile kumtimua mwekezaji.Jahazi ndo linazama hilo
 
Trust the process...Arteta ni kocha kijana mwenye mbinu bora za kisasa katika mashambulizi na kujilinda...apewe muda ajenge kikosi kinachoendana na falsafa zake huku akiondoa makapi yasiyoendana na mfumo wake wa kisasa.
Anaweza akafungwa mechi mbili za mwanzo na kushinda mechi nyingine 30 na kuwa bingwa🤣
 
Mashabiki wa Arsenal watamani mechi za timu za taifa ziendelee ili wapumzike na vichapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…