EPL ndo ligi bora duniani

EPL ndo ligi bora duniani

Pep Guardiola kaibadilisha sana EPL

1.Kaifanya Top 4 kuwa na thamani zaidi.

2.Kafanya alama 80+ kuwa chache kutwaa ubingwa.


[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya miaka kumi iliyopita katika mshindano ya club bingwa ulaya ambayo yalihusisha vilabu vikubwa kutoka ligi kuu mbalimbali za ulaya na epl ikiwemo kombe lilienda uingereza mara moja, italy mara moja, ujerumani mara moja Spain mara saba. Kwenye mashindano ya kombe la shirikisho kwa mda wa miaka kumi kombe vile vile limeenda spain karibu mara saba. Kwa takwimu hzo chache ni wazi kua ndani ya miaka kumi timu za la liga ndio zilizotawala mashindano makubwa ulaya.
 
Man city(pep) na liverpol(klop) wameipa ligi kuu thaman fulani hiv, tofauti na miaka kadhaa nyuma..

Siwez kuiita ligi ya uingereza kuwa ndio bora ulaya sababu takwimu zinainyima ubora ligi ya uingereza mbele ya ligi nyingine katika michuano mikubwa ya ulaya.
Nadhani kuanzia msimu huu na ujao ligi ya uingereza inaweza ikawa inaonesha ubora katika michuano mikubwa ulaya..

Miaka miwili nyuma nilikuwa sisemi ligi ni bora sababu ilikuwa imekusanya timu mbovu mbovu zenye kukaribiana mfano tungesema turate timu zao ungekuta bingwa tu ana 7.5/10 timu ya pili mpaka ya 6 unakuta 7/10, nafasi ya 7 kwenda mpaka 20 wapo wa 6.5,6 mpaka 4.5 hv, ndio maana tunaiona ngumu ila ulaya haifanyi vizur katika michuano mikubwa ni vile timu ni mbovu mbovu zimekaribiana uwezo, ila pep na klop wameongeza ushindani na ubora, ukitizama vizuri utaona sasa liver na man city wameziacha timu nyingine kwa uwezo km ukizirate hizi kwa sasa zipo kwenye ubora wa 8.5 mpaka 9 huku Tottenham akiwa na kama 7.5 ama 8, kwa kiwango hiki cha totenham misimu kadhaa nyuma angekuwa anagombania ubingwa na sio nafasi ya 3.

Tukija kwenye ligi nyingi mfano spain unakuta timu km barca, real na atletico kwa wastan viwango vyao huwa vinacheza kwenye 8.5 mpaka 9 hv.. Ukija kuvirate vilabu vingine unakuta ligi ya spain huwa inakuwa na vilabu vyenye viwango vizuri na timu zao kusumbua katika michuanio mikubwa, na ndio Hizo timu 3 kubwa zimekuwa zikisumbua michuani ya ulaya..

Ligi km italia, bayern kuna gap kubwa ya viwango timu km bayern na juve wamekuwa na rate ya 8 hv mpaka 9, wakiwaacha wengine kwa mbali, so hii inapunguza ushindani wa ligi na ndio maana kwenye michuano mikuwbwa ulaya wanapeleka timu nyingi ila zenye ushindani huwa ni timu zao za juu tu.

Huu ni mtizamo wangu kwa misimu kadhaa nyuma..
Ila kwa sasa ligi ya uingereza imeimarika na hata katika michuano ya ulaya wanaleta ushindani sasa.
 
Ndani ya miaka kumi iliyopita katika mshindano ya club bingwa ulaya ambayo yalihusisha vilabu vikubwa kutoka ligi kuu mbalimbali za ulaya na epl ikiwemo kombe lilienda uingereza mara moja, italy mara moja, ujerumani mara moja Spain mara saba. Kwenye mashindano ya kombe la shirikisho kwa mda wa miaka kumi kombe vile vile limeenda spain karibu mara saba. Kwa takwimu hzo chache ni wazi kua ndani ya miaka kumi timu za la liga ndio zilizotawala mashindano makubwa ulaya.
Afadhali umempa takwimu ajue ligi IPI ni bora
 
Ndani ya miaka kumi iliyopita katika mshindano ya club bingwa ulaya ambayo yalihusisha vilabu vikubwa kutoka ligi kuu mbalimbali za ulaya na epl ikiwemo kombe lilienda uingereza mara moja, italy mara moja, ujerumani mara moja Spain mara saba. Kwenye mashindano ya kombe la shirikisho kwa mda wa miaka kumi kombe vile vile limeenda spain karibu mara saba. Kwa takwimu hzo chache ni wazi kua ndani ya miaka kumi timu za la liga ndio zilizotawala mashindano makubwa ulaya.
uwezi ukawa unakamia sababu moja ligi ya. Epl ni bora kama ingrkuwa sio nadhani ingekuwa si dhahabu kuanzja kuitazama huwez lingnisha na warembo wa spain ambao wao ni bure hata kurushwa pili unachongelea ni barca na real zinazochukua wachezaji bora funiani na kujumsha kupata kikos kimoja unategemea nini
 
hivi liver na man cty wamebakiza match ngapi ngp.
 
uwezi ukawa unakamia sababu moja ligi ya. Epl ni bora kama ingrkuwa sio nadhani ingekuwa si dhahabu kuanzja kuitazama huwez lingnisha na warembo wa spain ambao wao ni bure hata kurushwa pili unachongelea ni barca na real zinazochukua wachezaji bora funiani na kujumsha kupata kikos kimoja unategemea nini


Ukiweka pembeni unazi wako wa EPL labda unaweza jua kipi bora. Ligi iliyotoa mchezaji bora wa dunia kwa miaka kumi mfululizo huwezi kuita ligi ya warembo. Barcelona na Madrid zimetawala kwenye Champions League tu ambapo washindani wake ni hao waliopo top four ya Epl lakini kuna timu nyingne kama Servila ambazo zimetawala kwenye Europa League ambapo zinachuana na vilabu vingine vilivopo nje ya top four ya uingereza na kuvishinda. Mchezaji wakishajiona ana kiwango kikubwa akili yake ni kwenda kuchezea spaini halafu unakuja mwenzangu kutoka tandare anasema ni ligi ya warembo.
 
Ndani ya miaka kumi iliyopita katika mshindano ya club bingwa ulaya ambayo yalihusisha vilabu vikubwa kutoka ligi kuu mbalimbali za ulaya na epl ikiwemo kombe lilienda uingereza mara moja, italy mara moja, ujerumani mara moja Spain mara saba. Kwenye mashindano ya kombe la shirikisho kwa mda wa miaka kumi kombe vile vile limeenda spain karibu mara saba. Kwa takwimu hzo chache ni wazi kua ndani ya miaka kumi timu za la liga ndio zilizotawala mashindano makubwa ulaya.
daaa uarabu ndugu ungeshafungwa maana
 
nimegundua kumbe kujielezea tabu hasa kwenye football way maana naona comment hata hazieleweki daah noma

#danvi
 
Ukiweka pembeni unazi wako wa EPL labda unaweza jua kipi bora. Ligi iliyotoa mchezaji bora wa dunia kwa miaka kumi mfululizo huwezi kuita ligi ya warembo. Barcelona na Madrid zimetawala kwenye Champions League tu ambapo washindani wake ni hao waliopo top four ya Epl lakini kuna timu nyingne kama Servila ambazo zimetawala kwenye Europa League ambapo zinachuana na vilabu vingine vilivopo nje ya top four ya uingereza na kuvishinda. Mchezaji wakishajiona ana kiwango kikubwa akili yake ni kwenda kuchezea spaini halafu unakuja mwenzangu kutoka tandare anasema ni ligi ya warembo.

Anaongea kishabiki huyo..
 


List of UEFA club competition winners by country[a]
NationalityUCLUELCWCUICUSCICTotal
23px-Flag_of_Spain.svg.png
Spain
18​
11​
7​
5​
15​
4​
60
23px-Flag_of_Italy.svg.png
Italy
12​
9​
7​
4​
9​
7​
48
23px-Flag_of_England.svg.png
England
12​
8​
8​
4​
7​
1​
40
23px-Flag_of_Germany.svg.png
Germany*
7​
6​
5​
8​
1​
3​
30
23px-Flag_of_the_Netherlands.svg.png
Netherlands
6​
4​
1​
0​
2​
3​
16
23px-Flag_of_France.svg.png
France
1​
0​
1​
12​
0​
0​
14
23px-Flag_of_Portugal.svg.png
Portugal
4​
2​
1​
1​
1​
2​
11
23px-Flag_of_Belgium_%28civil%29.svg.png
Belgium
0​
1​
3​
0​
3​
0​
7
23px-Flag_of_Scotland.svg.png
Scotland
1​
0​
2​
0​
1​
0​
4
23px-Flag_of_Ukraine.svg.png
Ukraine
0​
1​
2​
0​
1​
0​
4
23px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
0​
2​
0​
0​
1​
0​
3
23px-Flag_of_Romania.svg.png
Romania
1​
0​
0​
0​
1​
0​
2
23px-Flag_of_Serbia.svg.png
Serbia
1​
0​
0​
0​
0​
1​
2
23px-Flag_of_Sweden.svg.png
Sweden
0​
2​
0​
0​
0​
0​
2
23px-Flag_of_Turkey.svg.png
Turkey
0​
1​
0​
0​
1​
0​
2
23px-Flag_of_Georgia.svg.png
Georgia
0​
0​
1​
0​
0​
0​
1
23px-Flag_of_Slovakia.svg.png
Slovakia
0​
0​
1​
0​
0​
0​
1
20px-Flag_of_Denmark.svg.png
Denmark
0​
0​
0​
1​
0​
0​
1
 
Ligi inayotazamwa na watu wengi ulimwenguni.

Iliyosheheni timu zenye uwezo mdogo compared to la liga teams.

Kinachoipa nguvu ni promo za waingereza na media zao.
 
kuweni wakweli jamani..hivi mechi ya alaves na levante unaweza linganisha na watford v crystal palace!?
Cha ajabu hiyo watford na crystal ukizikutanisha na alaves na levante bado timu za spain zinaweza kuibuka washindi.

Uwa najiuliza ubora wa timu zenu uko wapi?

Timu zetu za Spain(la liga) karibia miaka kumi sasa zinawaenyesha timu zenu bora za uingereza kwenye mashindano makubwa ulaya,UCL na Europal yake.

Hata mwaka huu uwezekano wa UCL kurudi spain ni mkubwa.
 
Back
Top Bottom