EPL ni ligi nyepesi, Guardiola ametwaa taji bila ya kuwa na "Natural Striker"

EPL ni ligi nyepesi, Guardiola ametwaa taji bila ya kuwa na "Natural Striker"

Hizo ligi ngumu zenye natural striker kwenye timu zao mbona zina demka tuu kwenye mashindano ya UEFA misimu 3 mfululizo huku ligi nyepesi ikiendelea kutamba?
 
Nasikia pep anataka kuja na style mpya ,ya "false goalkeeper"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu, leo nimekuja na mjadala. Man City wametwaa ubingwa wao wa EPL na leo wamekabidhiwa ndoo yao. Cha kushangaza kocha Guardiola amekiongoza kikosi hiko kutwaa ubingwa bila ya kuwa na namba 9 asilia. Karibu msimu mzima Aguero alikuwa majeruhi, Gabriel Jesus kacheza mechi chache kutokana na fomu yake kuwa mbaya.

Hivyo Guardiola akawa anatumia mfumo wa viungo watupu huku akimtumia KDB na Foden kama false 9.

Je hiyoni kudhihirisha epl ni ligi nyepesi au Guardiola ni master tactician?
EPL TUMEPIGWA HAKUNA LEAGUE HAPO
 
Hizo ligi ngumu zenye natural striker kwenye timu zao mbona zina demka tuu kwenye mashindano ya UEFA misimu 3 mfululizo huku ligi nyepesi ikiendelea kutamba?

Kama kigezo ni UEFA bas nchi iliyochukua mara nyingi ndio iwe ligi bora
 
Back
Top Bottom