Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Ubingwa wa EPL 2018/2019 unawakataa Manchester city 'The Cityzens'
Hivi sasa tunapoongea wachezaji wanne muhimu ikiwamo na mabeki wa kati muhimu wote wapo majeruhi na viungo wawili muhimu mno pia majeruhi
Kelvin De Bruyne, Fernandinho, Aymeric Laporte na John Stones ni majeruhi hivi sasa ninavyoongea.
Ubingwa EPL 2018/2019 unaitaka Liverpool bila shaka
Hivi sasa tunapoongea wachezaji wanne muhimu ikiwamo na mabeki wa kati muhimu wote wapo majeruhi na viungo wawili muhimu mno pia majeruhi
Kelvin De Bruyne, Fernandinho, Aymeric Laporte na John Stones ni majeruhi hivi sasa ninavyoongea.
Ubingwa EPL 2018/2019 unaitaka Liverpool bila shaka