Epuka kujitibu mwenyewe kwa taarifa za mtandaoni. Muone mtaalam wa afya kila unapopata dalili mbaya za kiafya

Epuka kujitibu mwenyewe kwa taarifa za mtandaoni. Muone mtaalam wa afya kila unapopata dalili mbaya za kiafya

Kwanza tujiulize kwanini watu wana-Google?

Tatizo linaanzia kwny mfumo wa Afya, mfumo ukiwa dhaifu lazima watu watafute njia mbadala

Mf.Mimi binafsi nilikuwa natatizo fulani la kiafya nimeenda hospitali kubwa mara kadhaa naona na Daktari ananiandikia vipimo fulani fulan nafanya vyote sioni tatizo. Nikirudi kusomewa majibu anakwambia shida hii na hii sina so Mzee uko vizuri kabisa

Nakuaje vizuri wakati naumwa; pengine vipimo alivyonipa haviendani na tatizo langu. Nilirudi kwenye Google nikatumia muda mwingi na umakini na nikagundua tatizo langu nikasoma vyema side effect ya kila njia ya matibabu nikaanza. Alhamdulillah niko vyema kabisa na imenisaidia hata kujua chanzo cha tatizo lile ni nini na nimebadili kabisa life style iliyokuwa inanisanabishia tatizo

Drs wengi siku hizi wana fail kwenye ku-identify tatizo na ndio hapo kwny tatizo kuu
 
Kwa hiyo hivi sasa GUGU ina-trend siyo mkuu.
Anyway pia watu wanalalamika kupewa mi-vitamin na midawa mingine ili miela ya kulipa iwe mingi sina uhakika lkn madai haya yapo
Kuna kaukweli
 
Kwanza tujiulize kwanini watu wana-Google?

Tatizo linaanzia kwny mfumo wa Afya, mfumo ukiwa dhaifu lazima watu watafute njia mbadala

Mf.Mimi binafsi nilikuwa natatizo fulani la kiafya nimeenda hospitali kubwa mara kadhaa naona na Daktari ananiandikia vipimo fulani fulan nafanya vyote sioni tatizo. Nikirudi kusomewa majibu anakwambia shida hii na hii sina so Mzee uko vizuri kabisa

Nakuaje vizuri wakati naumwa; pengine vipimo alivyonipa haviendani na tatizo langu. Nilirudi kwenye Google nikatumia muda mwingi na umakini na nikagundua tatizo langu nikasoma vyema side effect ya kila njia ya matibabu nikaanza. Alhamdulillah niko vyema kabisa na imenisaidia hata kujua chanzo cha tatizo lile ni nini na nimebadili kabisa life style iliyokuwa inanisanabishia tatizo

Drs wengi siku hizi wana fail kwenye ku-identify tatizo na ndio hapo kwny tatizo kuu
Upo sahihi
 
siku hizi siyo Google Chatgpt ndio mpango mzima wa kutatua suluhisho lako
 
"A third of global deaths are due to MD prescriptions", walisema maprofesa wawili wa marekani!

Pia madakatri wengine wako kwenye payrolls za pharmaceutical companies, anakuandikia dawa hata usiyohitaji, ili mradi yeye muamala uingie!

Sitamsahau daktari niliyemuomba anicheki kichwa akagoma na kusema nisimfundishe kazi, akaniandikia dawa ya wiki eti baadaye nirudi; kuja ku-google, ni dawa ya kifafa, ina side effects kibao, nyingine life long! I don't trust them medics, wamekuwa mno money minded, na kusahau viapo na ethics za kazi zao!
 
Back
Top Bottom