Shida ya watanzania ni ubishi na ujuaji ata kama hujui chochote sasa hv unaweza kufanya manunuzi yoyote mtandaoni kwa kitumia crypto currency alaf jinga na pumbavu mmoja anakuja kukejeli.
Mimi nawaombea tu uzima miaka ijayo waone kitakachotokea uzur haya mambo ata watu wa dini wanayasema sana kama ndio ile mwanzo wa hekaheka za mwisho wa Dunia.
Tunapoenda Dunia haitokuwa tena na hzi sarafu tunazoziona ndio maana nchi kama sweeden na Finland washaanza kuwekewa chip kwenye mikono yao ili waweze kufanya Transaction kokote.
Technology unatakiwa uende nayo kwa umakini sana usije ukadhan hyo Bitcoin aligundua Satoshi Nakamoto peke yake, kuna documentary na jalada nying zinasema hii system ni ya watu ambao ata gvt flan flan wanawafaham ambao waliwekwa bootcamp na kutoka na idea hyo ila tu dunia ndio imedanganywa.